Haaaaaahaaaaah!Tehetehe...Kwikwikwiiiiii...!Je MKAPA mkuu?
Nilikuwa ninatamani huyu mzee prof Mlambiti kutumika kama mshauri kwa maendeleo ya nchi hii. Ninamkumbuka sana pale SUA lectures zake na vitabu vyake vya uchumi na ujasiliamali. Hongera CDM kwa kumtumia huyu mzee ni kichwa.
mzee wa rural economy..... wamemchakachua juzi ulanga...angekuwa mbunge huyu
View attachment 49548update wakuu
Hivi ccm hawajasimamisha mgombea mwanza?
Au wanaona aibu ya kukosa wasikilizaji?
Hivi ccm hawajasimamisha mgombea mwanza?
Au wanaona aibu ya kukosa wasikilizaji?
huo mguu vipi? wakitoka hapo wanaenda kuogelea.