Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Wanaye mkuu wanaendelea na kampeni za kugawa noti,pombe na kununua shahada.
ok, waendelee kugawa noti na pombe, siku ya kupigakura noti na pombe watawapigia kura.
Wasukuma pokeeni pesa, kunyweni pombe zao ni kodi zenu hizo, siku ya kupiga kura hakuna mtu anawasimamia kwenye sanduku la kura. Kura ni siri yako