Dr. Slaa ndani ya Indianapolis Radio

Dr. Slaa ndani ya Indianapolis Radio

hivi huko Marekani wanajua kama jamaa kapora mke wa mtu na anatafuna fedha za ruzuku?

Wandugu kwanini mnapenda kujadili watu Badala ya HOJA? hamuoni kwamba hii ndo7bu yakudharaulika hapa jukwaani mnaanbiwa mnaendesha MAISHA kwa Elf 7!
 
Mkuu, hawa wasikupe shida sie tulishawazoea tu. kazi ni moja tunatoa elimu kwa raia wao wamebaki na matusi yao.. Tutakutana nao 2015 katika sanduku la kura.

Umesomeka mkuu, japo mie binafsi sipendezwe na hizi siasa za kubomoa badala ya kujenga, umri wao kimaandiko unaonekana wanaweza badilika na tukaenda nao sawa
 
hivi huko Marekani wanajua kama jamaa kapora mke wa mtu na anatafuna fedha za ruzuku?

Kupora mke wa mtu ndo kumesababisha umaskini walionao wa Tanzania? Hizo ni personal issues ambazo hazitusaidii. Hivi kwani huyo Josephine ni under 18? La hasha ni mtu mwenye umri wa kuchambua jema na bays. Tusipoteze muda kujadili masuala binafsi maana hayatusaidii kuondoa umaskini
 
attachment.php

Dr. Slaa akiongozwa

Babu anatazama nini hapo? kweli, kipofu haachi fimbo yake.

Na shemeji yake inaonesha upo nyuma unachukuwa mapicha tu.
 
.......

..."Tanzania
is a great and rich country, with rich culture and rich people at heart. Her people have sent me on a study tour. They have sent me to learn the secrets of your success as a society "....

Babu kachanganyikiwa, ni nani alimtuma "study tour"? asisingizie Watanzania, huo ni uongo wa wazi wazi kabisa.

Watanzania tumemtuma kazi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete, hatuna haja ya kupeleka kibabu hicho "study tour".

Hiyo "study tour" kajiendea mwenyewe tu, sidhani hata kama chadema watakuwa mapunguani kiasi wamtume babu na mchumba kufanya "study tour".
 
Naona sasa kila kitu kimekua minor kwa dr, holding talks with the minority leader, anaongea kwenye a very minor radio yenye coverage ndogo, anatembelea a very minor state of alabama, kila kitu ni minor, bandari minor..asante mr minor
 
Jamani huu ni muujiza wa Mungu.Dr Slaa kwa sasa anatamba katika siasa za Dunia.

Wanasiasa wengi wa Marekani wamesema Dr Slaa ni mwanasiasa bora zaidi Afrika mbali ya Nelson Mandela na Julius Nyerere.

Mungu azidi kumbariki huyu mzalendo mwana wa Afrika.

Amesema nani mpuuzi wewe. Yaani kufanya interview na radio maria za USA ndio imekuwa miujiza. Mbona hata Flora Mbasha walifanya interview na VOA inayosikika zaidi kuliko hiyo ya Indianapolis.Halafu kuongea na Minority Leader wa Jimbo ni kitu kidogo sana. Huyo kiongozi sio popular. Chadema mnataka kutuaminisha kuwa Slaa ni kiongozi bora wa Africa. Hivyo na ile skendo yake ya kuchukua wake za watu wakiisikia huko watamtimua kama mwrnda kichaa. Kwa kuwa huko kiongozi lazima aee na maadili binafsi ndipo akubalike.
 
Kupora mke wa mtu ndo kumesababisha umaskini walionao wa Tanzania? Hizo ni personal issues ambazo hazitusaidii. Hivi kwani huyo Josephine ni under 18? La hasha ni mtu mwenye umri wa kuchambua jema na bays. Tusipoteze muda kujadili masuala binafsi maana hayatusaidii kuondoa umaskini
mkuu utendaji unapungua kama ukiibiwa mke, wewe unadhani ni jambo dogo kuhandle the situation ya kunyanganywa your loved one...ni kazi ngumu haswa
 
Babu kachanganyikiwa, ni nani alimtuma "study tour"? asisingizie Watanzania, huo ni uongo wa wazi wazi kabisa.

Watanzania tumemtuma kazi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete, hatuna haja ya kupeleka kibabu hicho "study tour".

Hiyo "study tour" kajiendea mwenyewe tu, sidhani hata kama chadema watakuwa mapunguani kiasi wamtume babu na mchumba kufanya "study tour".

Kibabu ee! Kichanulie uone shughuli yake!
 
sipati picha kama kikwete angepewa nafasi kama hii angeongea nini hasa,jamaa kwa pumba ndiye kwake

interview unaulizwa kwa nini nchi yako masikini huna jibu. unafikiri akikaribishwa kwenye interview nyingine atakubali!? labda kama maswali anapelekewa kwanza kuyapitia kabla! hata mimi ningekacha!
 
kama anashindwa kuwa serious katika jambo la msingi kama ndoa. tumwaminije kumkabidhi nchi? by the way, sheria za kanisa la katoliki linaamini ndoa ndoa moja mke mmoja. naamini hakuna padre wala askofu atakayefungisha ndoa ya dr slaa na Josephine

naomba unipe kifungu cha katiba kinacholazimisha rais awe mtu mwenye ndoa tayari!
 
Slaa kama kawaida yake, weakness yake iko mahali palepale.

Unaona anachoangalia?

Cc Sumu
Laana sio lazima uone nyeti za mzazi hata matusi kwa mtu mzima wa umri kukuzidi laana itakuandama. Tujadili facts sio matusi kwa watu wazima. Huu ndio msingi wa malezi ya kiafrika
 
Last edited by a moderator:
Babu kachanganyikiwa, ni nani alimtuma "study tour"? asisingizie Watanzania, huo ni uongo wa wazi wazi kabisa.

Watanzania tumemtuma kazi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete, hatuna haja ya kupeleka kibabu hicho "study tour".

Hiyo "study tour" kajiendea mwenyewe tu, sidhani hata kama chadema watakuwa mapunguani kiasi wamtume babu na mchumba kufanya "study tour".

black widow umetoroka kikao Lumumba eeh!? sikukuona!
 
mwambie apitie na VOICE OF AMERICA.

Utasikia na kumuona akiongea na Shaka Ssali(VOA wakiongea yai.....mahali JK hakanyagi....kwani shaka ssali atammaliza)..anayeichukia CCM km Museveni...
 
Babu kachanganyikiwa, ni nani alimtuma "study tour"? asisingizie Watanzania, huo ni uongo wa wazi wazi kabisa.

Watanzania tumemtuma kazi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete, hatuna haja ya kupeleka kibabu hicho "study tour".

Hiyo "study tour" kajiendea mwenyewe tu, sidhani hata kama chadema watakuwa mapunguani kiasi wamtume babu na mchumba kufanya "study tour".

Naogopa tumia "Black Widow" ....naona umechnaganyikiwa haswa..kunazia kwa Josephine hadi kwa Dr. Slaa......siku hizi hujui kabisa nani ni watanzania na nani si watanzania, hujui tofauti ya mke na mchumba..


Una kintimanyongo wewe mwanamke...sijuiungekuwa mama wa kambo ingekuweje..bora ubaki kimada angalau uwe busy maisha yako yote.

Zaidia mtanzania mmoja akimtuma anapata haki ya kusema nimetumwa na watanzania..ndio maana kampuni ya kichina ikipewa tender ya kujenga barabara ..watanzania husema "barabara hii imejengwa na wachina"..
 
Back
Top Bottom