only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,342
- 2,528
Hizi breaking news nyingine ni dalili ya Chadema kuishiwa hoja...
What is breaking about this news...
Haya nenda Lumumba Nepi anakusubiri una 7,000/= yako.
Hizi breaking news nyingine ni dalili ya Chadema kuishiwa hoja...
What is breaking about this news...
hapo hawezi kutia timu
mwambie apitie na VOICE OF AMERICA.
Haya nenda Lumumba Nepi anakusubiri una 7,000/= yako.
Jamani huu ni muujiza wa Mungu.Dr Slaa kwa sasa anatamba katika siasa za Dunia.
Wanasiasa wengi wa Marekani wamesema Dr Slaa ni mwanasiasa bora zaidi Afrika mbali ya Nelson Mandela na Julius Nyerere.
Mungu azidi kumbariki huyu mzalendo mwana wa Afrika.
hivi huko Marekani wanajua kama jamaa kapora mke wa mtu na anatafuna fedha za ruzuku?
Akisikilizwa na watu milion 9.................Redio inayowafikia watu............................ katika nchi yenye population ya 300Mil+
Kweli Slaa anakubalika:shocked::shocked::shocked:
Hizi breaking news nyingine ni dalili ya Chadema kuishiwa hoja...
What is breaking about this news...
Hizi breaking news nyingine ni dalili ya Chadema kuishiwa hoja...
What is breaking about this news...
Dr Slaa yupo Marekani
ameshindwa kuongoza familia, atakuwaje mkombozi wa afrika? hii ni miujiza ya Mungu. eti mzinifu na mpora wake za watu naye awe mkombozi!
Mkuu VOA idhaa ya Kiswahili alihojiwa wiki iliyopita.
Nasikia kimeitishwa kikao cha dharura Lumumba kuzungumzia ziara ya Dr Slaa barani Amerika.
Dr. ZeMarcopolo, wa kwenu ka hit 63 the other day!!! Tupe progressive CV yake!!!! Ni masikitiko!!Kuna mambo ambayo mtu unapaswa kuyafanya wakati unajenga CV na mambo ya kufanya baada ya kutimiza umri wa kustaafu.
Umri wa kustaafu sio wakati wa kujifunza mambo mapya, ni muda wa kutumia uzoefu ulioukusanya miaka mingi uliyoishi.
kama huko wana mkubali, na hapa watu waki mkataa.. hii nchi kamwe haito toka kwenye upu.mbavu na umaskini..... na haitokuja kutokea tena kupata bahati ya kua na mtu kama huyo kwa hivi karibuni.
Kashindwa kuongoza familia
ipi? Watoto wake na Rose ni watu wazima na wamesoma!!! Hawajapata ziro
au division four kama wale wa yule wa kwenu!!! Na wale waliobahatika
kusoma, walikuwa wanaandikiwa madesa chuo!!! Kamwambie huyo short wake
kama anajua kujibu hata petition ya mahakama!! Facts zipo, usitake
tuangushe hapa watu waumbuke.