Anayo mashamba mengi, unazungumzia lipi haswa!!!??? Hata akiwa Chalinze au Bagamoyo si lazima tusimame apite? Cha msingi I don't care iwe anaenda shamba au la maana ni masuala yake binafsi, what matters to me ni kwa jinsi gani anatumia angalau zile siku tano za wiki kuangalia masuala muhimu ya mustakabali wa taifa hili ambalo kwa sasa limejaa chuki, wizi, ufisadi, utapeli (kila siku tuna maofisa wa TISS fake, TRA, Polisi, Jeshi, Uhamiaji, you name all). Hapa sijaelezea mpasuko wa dini na ukabila katika angle zote za idara za serikali!!! take it from me!!! Ni kweli!!