Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Naomba mwenye kumbukumbu atuwekee picha za Prof. Lipumba alipokuwa uwanja huu huu wiki iliyopita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio mbaya kwenda kumshangaa mwizi wa wake za watu!
Eti kweli Dk slaa, Lwakatare wamepiga magoti kule bukoba kuomba kura?
JEE inamaana sasa Dk slaa anatumia mbinu mpya? mbinu ambazo ms aliwahi kumshauri.
Naomba mwenye kumbukumbu atuwekee picha za Prof. Lipumba alipokuwa uwanja huu huu wiki iliyopita.
Eti kweli Dk slaa, Lwakatare wamepiga magoti kule bukoba kuomba kura?
JEE inamaana sasa Dk slaa anatumia mbinu mpya? mbinu ambazo ms aliwahi kumshauri.
lkn mbona amechelewa? atarudi tena mikoa aliopita kupiga tena magoti?
watz hatudanganyiki.
Eti kweli Dk slaa, Lwakatare wamepiga magoti kule bukoba kuomba kura?
JEE inamaana sasa Dk slaa anatumia mbinu mpya? mbinu ambazo ms aliwahi kumshauri.
lkn mbona amechelewa? atarudi tena mikoa aliopita kupiga tena magoti?
watz hatudanganyiki.
Nimeona hata mimi hapo aliyepiga ni SLAA si ndio na aliyeshika picha ya Mrembo ni MALARIA SUGU.................
Baadaye, ukaanza wakati wa kuburudika na wananchi, Dr na Lwakatare wakaamsha vicheko toka kwa wananchi, hebu angalia kwa makini kicheko toka kwa Dr: