Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
Ukombozi rasmi ni hapo nov 1
Zipo tofauti sana... Ila wewe binafsi unahisi zipo sawa!Moderator, hii thread iko sawa na ile ya DR SLAA YUPO BUKOBA.
Tafadhali ziunganishe.
Dr Slaa na Lwakatare wapiga Magoti kuomba Kura Bukoba?
Eti kweli Dk slaa, Lwakatare wamepiga magoti kule bukoba kuomba kura?
JEE inamaana sasa Dk slaa anatumia mbinu mpya? mbinu ambazo ms aliwahi kumshauri.
lkn mbona amechelewa? atarudi tena mikoa aliopita kupiga tena magoti?
watz hatudanganyiki.
hahaha,kwa mbinu mpya?
Mbona Mod amenielewa? jamani wana sisi m mmechakachuliwa ufahamu?Zipo tofauti sana... Ila wewe binafsi unahisi zipo sawa!
WaTz kama nani?Eti kweli Dk slaa, Lwakatare wamepiga magoti kule bukoba kuomba kura?
JEE inamaana sasa Dk slaa anatumia mbinu mpya? mbinu ambazo ms aliwahi kumshauri.
lkn mbona amechelewa? atarudi tena mikoa aliopita kupiga tena magoti?
watz hatudanganyiki.
ur avatar is amazing!dr slaa for our unity, diginity and hope. This is the new hope for our country and no one else. We want to be the first country to fight against frauds, in africa. Ccm stop dreaming of descriminating the people's powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.
Nimekuwa nje ya net kiasi cha kutojibu post yako haraka> Hapa nilipo nimekuwa na power shortage kwa siku nzima.Mchukia ufisadi mbona pc yangu inagoma kudownload hizi picha ulizoweka. Kila nikijitahidi..chafu! natamani niivunje pc yangu. hebu toa msaada wa namna ya kufungua kaka.
Slaa ashinde asishinde CCM cha moto wanakiona...ngoja waibe kura sasa, watakiona cha mtema kuniCCM wameinama wameinuka wanaona moto unawaka, moto unawaka kweli moto unawaka.