Eti kweli Dk slaa, Lwakatare wamepiga magoti kule bukoba kuomba kura?
JEE inamaana sasa Dk slaa anatumia mbinu mpya? mbinu ambazo ms aliwahi kumshauri.
lkn mbona amechelewa? atarudi tena mikoa aliopita kupiga tena magoti?
watz hatudanganyiki.
Habari za kishabiki zimezidi itafika mahali zitakuja habari za maana tukadharau.
Tafuta thread ya "Dr Slaa yupo Bukoba" https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/78715-dr-slaa-yupo-bukoba.html uburudike kwa picha size yake na bado naongeza zingine baadae.Tunashukuru sana MWAFRIKA KWA PICHA NZURI ZA RAIS MTARAJIWA!Jitahidi kutuletea picha pale unapozipata ,siyo mbaka uchokozwe na MALARIA SUGU!!
Tunashukuru sana MWAFRIKA KWA PICHA NZURI ZA RAIS MTARAJIWA!Jitahidi kutuletea picha pale unapozipata ,siyo mbaka uchokozwe na MALARIA SUGU!!
Eti kweli Dk slaa, Lwakatare wamepiga magoti kule bukoba kuomba kura?
JEE inamaana sasa Dk slaa anatumia mbinu mpya? mbinu ambazo ms aliwahi kumshauri.
lkn mbona amechelewa? atarudi tena mikoa aliopita kupiga tena magoti?
watz hatudanganyiki.
haki ya Mungu shemegi wa ukweliiii! safiiiView attachment 15330
View attachment 15331
Mambo ya mabango hayo. Message sent.
View attachment 15332
View attachment 15333
Picha hizi nyie jazieni wenyewe maana ni mambo ya ushemeji!
MF,
Bukoba inahitaji a handsome man like this (nikikopa usemi wa dokii wa ccm) one awe mbunge.
i love it... nilikuwa nasubiri umalize kuweka picha ili niweke hamsini zangu.