Elections 2010 Dr Slaa ndani ya Bukoba

attachment.php




Mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema Bukoba mjini akiomba kura kwa ajili yake, madiwani na Rais Dr Slaa.

MF,

Bukoba inahitaji a handsome man like this (nikikopa usemi wa dokii wa ccm) one awe mbunge.

i love it... nilikuwa nasubiri umalize kuweka picha ili niweke hamsini zangu.
 
Kweli poeples Power inakamata kila kona; na naamini ngoja siku zikaribie kama nilivyokwishasema, CCM watakosa hoja kabisa na Slaa huyoooo hadi ikulu
 
Mambo ya mabango hayo. Message sent.

Ama kweli wakinge uwapendao na CHAMA TAWALA, ujumbe umetulia. Asanteni sana Mchukia Fisadi na Omulangi.
 
Version:1.0 StartHTML:0000000105 EndHTML:0000008239 StartFragment:0000002882 EndFragment:0000008203 @font-face { font-family: "Times New Roman"; }p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal { margin: 0in 0in 0.0001pt; font-size: 12pt; font-family: "Times New Roman"; }a:link, span.MsoHyperlink { color: blue; text-decoration: underline; }a:visited, span.MsoHyperlinkFollowed { color: purple; text-decoration: underline; }table.MsoNormalTable { font-size: 10pt; font-family: "Times New Roman"; }div.Section1 { page: Section1; } MATUMAINI YA DK SLAA KWENDA IKULU YAZIDI KUONEKANA BUKOBA
http://1.bp.blogspot.com/_YaKHJFAZ_oc/TLddALEPfbI/AAAAAAAAMUo/xyJMFwgNPng/s1600/Slaa+kupiga+ngoma.JPG

Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Dk. Willibrod Slaa, akiwapungia mkono wakazi wa mji wa Bukoba, akiwa
katika msafara kuelekea katika Uwanja wa Uhuru mjini humo, ambako alifanya mnkutanowa kampeni


Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji
wa Bukoba na vitongoji vyake, katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Uhuru

Akinana mama wakazi wa mji wa Bukoba, wakiwa na waotot wao katika
wakimsikiliza mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia
na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru .matukio yote haya na JOseph Senga
 
Rais wetu mtarajiwa Dr Wilbrod Peter Slaa yupo leo Bukoba. Amekuwa na mkutano maeneo ya Kibengwe Bukoba vijijini na anategemea kuwa Kanyigo baadaye.
Sasa hivi anategemewa muda mfupi ujao atakuwa katika kata ya Ijuganyundo katika Manispaa ya Bukoba. Kisha atahutubia katika viwanja maarufu hapa mjini kama Uhuru Platform. Watu ni wengi sana walio katika maandalizi ya kumpokea na kumsikiliza. Naona bendera kila mahali.

Nimepata habari kwamba kule Karagwe jana Dr alipokelewa na umati ambao haujapata kuonekana na kwa wale wakazi wa Karagwe inasemekana watu walijipanga njiani toka Kayanga hadi Nyaishozi ili kumlaki mwaka huu namshauri Kikwete aondoke kwa amani ikulu.

Habari zaidi na picha baadae wakuu wangu. Ngoja niwahi mkutano!
Pepleooooooooooooooos Poweeeeeeeeeeer!

"Rais wetu mtarajiwa Dr Wilbrod Peter Slaa yupo leo Bukoba." Mkuu una dharau. Utadhani rais huwa anateuliwa? Achani dharau jamani. Dhamana ya nani awe rais iko mikononi mwa wapiga kura. Acheni fikra za Kirusi.
 
Dr Slaa AKUMBUKE kutamka wazi kuwa anawapenda wana CCM na aendeee kuziomba kura zao kama alivyofanya mwanzoni. Hata wana ccm wenyewe wameishamchoka Kikwete. Asisitize kuwa wana CCM wengi wana mapenzi mema na nchi yao, na hata yeye anawapenda. Isipokuwa kikundi cha wachache ndani ya CCM ndio wanaofaidi. Wana ccm wengi waliobaki hawana wanachokifaidi ndani ya Chama chao.
 
Katika gazeti la leo la majira, First Lady Mtarajiwa mama yetu Josephine amemnadai kwa nguvu zote Dr. Slaa kwa ndugu zake huko Bukoba kwa kuwahimiza wamchague shemeji yao...........
 
haina maana kuiweka hiyo thread kama ilivyo, bilashaka unampango wa kukumbusha yaliyopita.
 
Dr Slaa AKUMBUKE kutamka wazi kuwa anawapenda wana CCM na aendee kuziomba kura zao kama alivyofanya mwanzoni. Hata wana ccm wenyewe wameishamchoka Kikwete. Asisitize kuwa wana CCM wengi wana mapenzi mema na nchi yao, na hata yeye anawapenda. Isipokuwa CCM imekuwa ya mafisadi wachache,ndio wanaofaidi. Wana ccm wengi waliobaki, pamoja na ushabiki hawana wanachokifaidi ndani ya Chama chao. Asisitize kuwa yeye ndiye mkombozi wa wote na hasa wana CCM!

Kauli kama hii yaweza kuvuta hisia na kubadili mawazo ya watu kwa haraka sana. Dr Slaa ukumbuke ulivyomsema vizuri Mwakyembe ulikuwa kivutio, ukabadili hisia za watu na kusababisha wana ccm wote wakukubali. Dr Slaa sasa wasifie wana CCM. Toa kauli nzuri kwamba wewe ni mkombozi wa Wana ccm. Adui mkubwa wa Chadema ni mafisadi na sio wana CCM. Tafadhali Dr Slaa usisitize jambo hili. Maana watu wasio na uelewa wanakatana mapanga wakidhani wewe utakuwa rais wa wana CHADEMA na hivi kuwatelekeza wao.
 
Tatizo ni kua sisi tunao ongea hapa ikifika siku ya kwenda kupiga kura hatujitokezi sababu kibao .
hicho ndicho kinacho niboa
 
Dr Slaa AKUMBUKE kutamka wazi kuwa anawapenda wana CCM na aendee kuziomba kura zao kama alivyofanya mwanzoni. Hata wana ccm wenyewe wameishamchoka Kikwete. Asisitize kuwa wana CCM wengi wana mapenzi mema na nchi yao, na hata yeye anawapenda. Isipokuwa CCM imekuwa ya mafisadi wachache,ndio wanaofaidi. Wana ccm wengi waliobaki, pamoja na ushabiki hawana wanachokifaidi ndani ya Chama chao. Asisitize kuwa yeye ndiye mkombozi wa wote na hasa wana CCM!

Kauli kama hii yaweza kuvuta hisia na kubadili mawazo ya watu kwa haraka sana. Dr Slaa ukumbuke ulivyomsema vizuri Mwakyembe ulikuwa kivutio, ukabadili hisia za watu na kusababisha wana ccm wote wakukubali. Dr Slaa sasa wasifie wana CCM. Toa kauli nzuri kwamba wewe ni mkombozi wa Wana ccm. Adui mkubwa wa Chadema ni mafisadi na sio wana CCM. Tafadhali Dr Slaa usisitize jambo hili. Maana watu wasio na uelewa wanakatana mapanga wakidhani wewe utakuwa rais wa wana CHADEMA na hivi kuwatelekeza wao.
 
So what? Dr. Slaa hahitaji kunadiwa na mwanafamilia ili akubalike! hiyo ni staili ya Kikwete pekee yake maana hata Mkapa hakuwahi kutumia familia kumkampenia. Unataka kumshushia hadhi rais wetu mtarajiwa kuwa anamhitaji mkewe ili aingie ikulu. Mambo ya Josephine na Dr. ni ya binafsi wala hatuyahitaji hapa jamvini.

Dk. Slaa ataingizwa ikulu na people's power ambao ndio tutampangia kazi.
 
Mambo ya Josephine na Dr. ni ya binafsi wala hatuyahitaji hapa jamvini..

When it comes to public office and political leadership nothing remains personal. Kumbuka kuwa ni kodi za mwananchi ndio zitakazo hudumia huo ushirika binafsi unaozungumziwa. lakini pia wote tunajua jinsi gani mwenza wako anakuwa na sehemu kubwa katika mawazo na utekelezaji wa majukumu yako. Na vipi suala la ujumbe unaopelekwa kwa vijana wetu? Hili suala la kuwa mambo haya ni personal is just political whitewash ambayo tunaitumia kwa kuwa wengi wetu hatupo tayari kupambana na mapungufu yetu...mapungufu ambayo yana nafasi kubwa katika kuathiri ama kuwezesha utekelezaji wa majukumu yetu kwa umma.......
 
Back
Top Bottom