fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
- Thread starter
- #61
mimi hii kitu siielewi kabisa, kwanini CCM/SERIKALI inafanya vitu makusudi kabisa kuipandisha chati CHADEMA.
-Dowans (mitambo na deni lao)
-Bei ya Umeme,
-Kutumia nguvu kuzuia maandamano ya amani
-kumkamata Dr Slaa.
-kutowajibisha mtu kwenye mabobu yaliolipuka
etc
au JK anafanya makusudi Chadema wachukue nchi akimaliza muda wake? au kuna watu ana "beef" nao ndani ya CCM ambao anajua watachukua nchi kwenye uchaguzi ujao?
-Dowans (mitambo na deni lao)
-Bei ya Umeme,
-Kutumia nguvu kuzuia maandamano ya amani
-kumkamata Dr Slaa.
-kutowajibisha mtu kwenye mabobu yaliolipuka
etc
au JK anafanya makusudi Chadema wachukue nchi akimaliza muda wake? au kuna watu ana "beef" nao ndani ya CCM ambao anajua watachukua nchi kwenye uchaguzi ujao?