Alilolisema JK linatimia, kwamba wao kama serikali wako makini, watahakikisha amani haivunjiki, kaacha maagizo wakamatwe wakati yeye hayupo. Atasababisha machafuko, timing sio nzuri. watu waliohamasika kuandamana wanaweza kuhamasika kumfuata Slaa, kitakachotokea JK anakijua.
Alilolisema JK linatimia, kwamba wao kama serikali wako makini, watahakikisha amani haivunjiki, kaacha maagizo wakamatwe wakati yeye hayupo. Atasababisha machafuko, timing sio nzuri. watu waliohamasika kuandamana wanaweza kuhamasika kumfuata Slaa, kitakachotokea JK anakijua.
Tena bahati yaoo kweli kweli tulikuwa tumeisha jiandaaa kwenda kumtoa kwa nguvuu...
think twice
ka ni mfanyakazi mwenzio wa CCM inawezekana ikawa kweli..........................
acha jazba. inawezekana na ndio maana mtu amezungumza na nimsomi anajiheshimu. Usipinge haraka.
Maandamano hayapati publicity bila vurugu kidogo, na ikibidi mnawachokoza polisi ili wakukamateni na kupandisha munkari wa watu wenu.
Haya ya kufanya mkutano na kuondoka kimyakimya hayasaidii sana kisiasa.