SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Ujumbe umefikaKinachotakiwa ni kuzikamata na kuziweka ndani fikra za Watz waliochoshwa na maisha magumu. Ikiwa ni pamoja na ukosefu wa huduma muhimu. Kibaya zaidi ajira zote muhimu wamepewa wageni kwa baraka za Wizara husika