Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Kauli za viongozi wa Chadema lazima ziangaliwe kwa Umakini mkubwa lasivyo Watanzania watazizoea na kushindwa kujua lipi ni kweli lisemwalo na viongozi hao!
Mbowe akiwa Kyela alisema kuna taasisi moja ya utafiti ya nje(hata jina hakuitaja) kuwa imegundua asilimia 35 ya bajeti ya Tanzania inaliwa na Viongozi kila Mwaka kwa kujenga magorofa na majumba!
Dr Slaa nae akiwa Tunduma amesema Biilioni 200 zimeliwa na Viongozi wa serikali zilikua kwa ajiri ya kulipa deni la Taifa
Mheshimiwa Sugu(Mr Two) akiwa kyela amekaliliwa akisema ameamua kua Mbunge wa. Kyela!
Regia Mtema akiwa Tunduma amekaliliwa akisema kuna watoto wanakosa ada wakati wabunge wakilipana hela kubwa na kuishi maisha ya kifahari!
My take:
Mbowe anajua kweli asilimia 35 ya bajeti ni kiasi gani?
Dr Slaa tumehangaika sana na 94 Bilioni zisilipwe kwa Dowans kwa 200 Bilioni anazisema kimzaha tu kweli au ni siasa?
Mh Sugu hivi jimbo unalichukulia kama kijiji au mtaa? Kero za mbeya mjini zimeisha na sasa unataka umalize za Kyela
Mh Regia Mtema una amaanisha Wabunge gani? Wabunge Wachadema hawalipwi hizo hela?
Chadema jipangeni kwa Kauli zenu Watanzania wana wasikiliza na Kuzipima!
Mbowe akiwa Kyela alisema kuna taasisi moja ya utafiti ya nje(hata jina hakuitaja) kuwa imegundua asilimia 35 ya bajeti ya Tanzania inaliwa na Viongozi kila Mwaka kwa kujenga magorofa na majumba!
Dr Slaa nae akiwa Tunduma amesema Biilioni 200 zimeliwa na Viongozi wa serikali zilikua kwa ajiri ya kulipa deni la Taifa
Mheshimiwa Sugu(Mr Two) akiwa kyela amekaliliwa akisema ameamua kua Mbunge wa. Kyela!
Regia Mtema akiwa Tunduma amekaliliwa akisema kuna watoto wanakosa ada wakati wabunge wakilipana hela kubwa na kuishi maisha ya kifahari!
My take:
Mbowe anajua kweli asilimia 35 ya bajeti ni kiasi gani?
Dr Slaa tumehangaika sana na 94 Bilioni zisilipwe kwa Dowans kwa 200 Bilioni anazisema kimzaha tu kweli au ni siasa?
Mh Sugu hivi jimbo unalichukulia kama kijiji au mtaa? Kero za mbeya mjini zimeisha na sasa unataka umalize za Kyela
Mh Regia Mtema una amaanisha Wabunge gani? Wabunge Wachadema hawalipwi hizo hela?
Chadema jipangeni kwa Kauli zenu Watanzania wana wasikiliza na Kuzipima!