Dr Slaa na Mbowe,Chadema kauli zenu zina Utata!

he he he eheeee, ununuzi wa magari chakavu ya mbowe wakati wao ndio wanaopinga, vp hapo mkuu? Slaa kula matapishi yake mwenyewe kwa kusema mishahara ya wabunge ni mikubwa , wakati yeye amelazimisha baraza kuu limlipe kama mbunge, hapo vp mkuu? . Ni kweli wanachosema sicho wanacho tenda. Kama data ndizo hizo
late hatuhami chadema tena mmechelewa mbele kwa mbele tumepata mke mpya wa zamani ataongea megi
 
He he he eheeee, ununuzi wa magari chakavu ya mbowe wakati wao ndio wanaopinga, vp hapo mkuu? Slaa kula matapishi yake mwenyewe kwa kusema mishahara ya wabunge ni mikubwa , wakati yeye amelazimisha baraza kuu limlipe kama mbunge, hapo vp mkuu? . Ni kweli wanachosema sicho wanacho tenda. Kama data ndizo hizo
Kuhusu magari chakavu nikujibu hivi:Sheria ya ununuzi wa magari ya Serikali haimbani mtu wa kawaida chama au taasisi kwa maana hiyo Chadema ilikuwa inapigia kelele Serikali sbb baadhi ya watumishi wake walikuwa wakiagiza magari(used)kwa bei nafuu na kukomba fedha Serikalini kwa bei ya magari mapya.Kuhusu Slaa kulipwa sawa na Mbunge thibitisha kwanza
 
Kauli za viongozi wa Chadema lazima ziangaliwe kwa Umakini mkubwa lasivyo Watanzania watazizoea na kushindwa kujua lipi ni kweli lisemwalo na viongozi hao!
Mbowe akiwa Kyela alisema kuna taasisi moja ya utafiti ya nje(hata jina hakuitaja) kuwa imegundua asilimia 35 ya bajeti ya Tanzania inaliwa na Viongozi kila Mwaka kwa kujenga magorofa na majumba!
Dr Slaa nae akiwa Tunduma amesema Biilioni 200 zimeliwa na Viongozi wa serikali zilikua kwa ajiri ya kulipa deni la Taifa
Mheshimiwa Sugu(Mr Two) akiwa kyela amekaliliwa akisema ameamua kua Mbunge wa. Kyela!
Regia Mtema akiwa Tunduma amekaliliwa akisema kuna watoto wanakosa ada wakati wabunge wakilipana hela kubwa na kuishi maisha ya kifahari!

My take:
Mbowe anajua kweli asilimia 35 ya bajeti ni kiasi gani?
Dr Slaa tumehangaika sana na 94 Bilioni zisilipwe kwa Dowans kwa 200 Bilioni anazisema kimzaha tu kweli au ni siasa?
Mh Sugu hivi jimbo unalichukulia kama kijiji au mtaa? Kero za mbeya mjini zimeisha na sasa unataka umalize za Kyela
Mh Regia Mtema una amaanisha Wabunge gani? Wabunge Wachadema hawalipwi hizo hela?
Chadema jipangeni kwa Kauli zenu Watanzania wana wasikiliza na Kuzipima!
kamanda umepata wapi uongo huu?mbona mh Mbowe hakuhutubia Kyela,wala Bi Regia Mtema hakuwepo Tunduma,lete kitu halisi sio hisia zako na chuki za k*****e!
 
Kuhusu magari chakavu nikujibu hivi:Sheria ya ununuzi wa magari ya Serikali haimbani mtu wa kawaida chama au taasisi kwa maana hiyo Chadema ilikuwa inapigia kelele Serikali sbb baadhi ya watumishi wake walikuwa wakiagiza magari(used)kwa bei nafuu na kukomba fedha Serikalini kwa bei ya magari mapya.Kuhusu Slaa kulipwa sawa na Mbunge thibitisha kwanza

Upo nchi hii ? uthibitisho aliisha utoa Mbowe bana kwenye press confrerence. Na watu wamekushangaa kweli kuuliza uthibitisho wakati hilo liliisha fanyika, jibu sasa !
 
Kauli za viongozi wa Chadema lazima ziangaliwe kwa Umakini mkubwa lasivyo Watanzania watazizoea na kushindwa kujua lipi ni kweli lisemwalo na viongozi hao!
Mbowe akiwa Kyela alisema kuna taasisi moja ya utafiti ya nje(hata jina hakuitaja) kuwa imegundua asilimia 35 ya bajeti ya Tanzania inaliwa na Viongozi kila Mwaka kwa kujenga magorofa na majumba!
Dr Slaa nae akiwa Tunduma amesema Biilioni 200 zimeliwa na Viongozi wa serikali zilikua kwa ajiri ya kulipa deni la Taifa
Mheshimiwa Sugu(Mr Two) akiwa kyela amekaliliwa akisema ameamua kua Mbunge wa. Kyela!
Regia Mtema akiwa Tunduma amekaliliwa akisema kuna watoto wanakosa ada wakati wabunge wakilipana hela kubwa na kuishi maisha ya kifahari!

My take:
Mbowe anajua kweli asilimia 35 ya bajeti ni kiasi gani?
Dr Slaa tumehangaika sana na 94 Bilioni zisilipwe kwa Dowans kwa 200 Bilioni anazisema kimzaha tu kweli au ni siasa?
Mh Sugu hivi jimbo unalichukulia kama kijiji au mtaa? Kero za mbeya mjini zimeisha na sasa unataka umalize za Kyela
Mh Regia Mtema una amaanisha Wabunge gani? Wabunge Wachadema hawalipwi hizo hela?
Chadema jipangeni kwa Kauli zenu Watanzania wana wasikiliza na Kuzipima!

Kama bilioni 19 tu zilitengwa kwaajili ya chai hii tu inatoa picha yanayosemwa ni kweli kabla hata hujaendelea na mahesabu! Ebu niambie katika bajeti ya mwaka huo kiasi gani kilitengwa kutengeneza madawati tulinganishe na chai ambayo wafanyakzi wangeweza tu ku i skip kwani more than 30% ya watanzania wanapata mlo mmoja per day; hao unao wapa chai tayari hawapo kwenye hiyo list je ni vipi wanao pata milo mitatu unawapa wa nne tena hiyo peasa ni kodi ya huyo ambaye anapata huo mlo mmoja? Utaniambia hao hawalipi kodi anhaa katika huo mlo mmoja anatoa VAT kiasi gani kila siku?

Acheni kudhihaki watanzania kwenye serious issues na hizo data ndizo zinazo ongeza votes kwa CHADEMA ili iweze kuunda serikali na kusaidia economy ya nchi through policies zake. Regia na Sugu wanaongelea policies ambazo zina cover the whole country na siyo individuals. They have a point kwani ni heri kuwa na mbunge mmoja Sugu kutoka CHADEMA ambaye through policies za chama chake anaweza kuleta impact kwa vote yake moja ambayo ni representative ya sauti ya wana Mbeya kuliko kuwa na idadi yote ya wabunge kutoka CCM na sera zao zilizo fail na mbaya zaidi wakiwa hawana diversity ya opinion kwani akisema waziri wao; wao wanaongezea ndiyooooo na kugonga meza bila kuumiza akili zao ili waje na critical ideas zitakazo leta impact kwenye economy ya nchi. So kuhusu malipo pia hiyo ni sera ya CCM na ndiyo wenye serikali; CHADEMA through Dr. Slaa walisha object hilo bungeni CCM kwa wingi wa votes wakamshinda what else do you want?
 
Hebu nikumbushe umejiunga lini JF vile

Kijiunga kunahusiana nini na hoja
hata kama amejiunga 10dk kabla ya mada ana haki ya kuchangia
wewe uliyejiunga muda mrefu changia hoja kwa hoja
acha kumtisha mwenzako au ndio emptybrain
 
kauli za viongozi wa chadema lazima ziangaliwe kwa umakini mkubwa lasivyo watanzania watazizoea na kushindwa kujua lipi ni kweli lisemwalo na viongozi hao!
Mbowe akiwa kyela alisema kuna taasisi moja ya utafiti ya nje(hata jina hakuitaja) kuwa imegundua asilimia 35 ya bajeti ya tanzania inaliwa na viongozi kila mwaka kwa kujenga magorofa na majumba!
Dr slaa nae akiwa tunduma amesema biilioni 200 zimeliwa na viongozi wa serikali zilikua kwa ajiri ya kulipa deni la taifa
mheshimiwa sugu(mr two) akiwa kyela amekaliliwa akisema ameamua kua mbunge wa. Kyela!
Regia mtema akiwa tunduma amekaliliwa akisema kuna watoto wanakosa ada wakati wabunge wakilipana hela kubwa na kuishi maisha ya kifahari!

My take:
Mbowe anajua kweli asilimia 35 ya bajeti ni kiasi gani?
Dr slaa tumehangaika sana na 94 bilioni zisilipwe kwa dowans kwa 200 bilioni anazisema kimzaha tu kweli au ni siasa?
Mh sugu hivi jimbo unalichukulia kama kijiji au mtaa? Kero za mbeya mjini zimeisha na sasa unataka umalize za kyela
mh regia mtema una amaanisha wabunge gani? Wabunge wachadema hawalipwi hizo hela?
Chadema jipangeni kwa kauli zenu watanzania wana wasikiliza na kuzipima!


mwenda wazimu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! This very crazy kama tuna watu kama hawa.
 
Mbowe akiwa Kyela alisema kuna taasisi moja ya utafiti ya nje(hata jina hakuitaja) kuwa imegundua asilimia 35 ya bajeti ya Tanzania inaliwa na Viongozi kila Mwaka kwa kujenga magorofa na majumba!
Dr Slaa nae akiwa Tunduma amesema Biilioni 200 zimeliwa na Viongozi wa serikali zilikua kwa ajiri ya kulipa deni la Taifa
Mheshimiwa Sugu(Mr Two) akiwa kyela amekaliliwa akisema ameamua kua Mbunge wa. Kyela!
Regia Mtema akiwa Tunduma amekaliliwa akisema kuna watoto wanakosa ada wakati wabunge wakilipana hela kubwa na kuishi maisha ya kifahari!

My take:
Mbowe anajua kweli asilimia 35 ya bajeti ni kiasi gani?
Dr Slaa tumehangaika sana na 94 Bilioni zisilipwe kwa Dowans kwa 200 Bilioni anazisema kimzaha tu kweli au ni siasa?
Mh Sugu hivi jimbo unalichukulia kama kijiji au mtaa? Kero za mbeya mjini zimeisha na sasa unataka umalize za Kyela
Mh Regia Mtema una amaanisha Wabunge gani? Wabunge Wachadema hawalipwi hizo hela?
Chadema jipangeni kwa Kauli zenu Watanzania wana wasikiliza na Kuzipima!


Mbowe anajua kweli asilimia 35 ya bajeti ni kiasi gani?
Kikwete mwenyewe alisema kuwa 30% ya fedha za Umma zinaliwa na viongozi wabovu serikalini kabla ya uchaguzi sikumbuki tarehe na mwezi. Sasa kwanini unashangaa 35% ya mbowe haushangai 30% ya Kikwete mwenyewe? Inawezekana kabisa JK amepunguza 5% kwa kuona aibu.

Pili, kikwete hakutaja reference yo yote, alijiongelea mwenyewe, wakati Mbowe ana reference. Je kati ya hawa tumwamini nani? Mimi nitamwamini mbowe ambaye ana kitu cha kurejea hata kama hakutaja jina lake kwa kuwa historia ya kufanya mzaha ktk masuala yanayohusu taifa.
Dr Slaa nae akiwa Tunduma amesema Biilioni 200 zimeliwa na Viongozi wa serikali zilikua kwa ajiri ya kulipa deni la Taifa
Tangu lini Dr Slaa akawa mfanya mzaha? Yaani azunguke nchi kutania au kusema uwongo? Ingekuwa hivyo, kwa kauli zake zote alizotoa dhidi ya viongozi wakubwa akiwahusisha na ufisadi akiwepo kikwete wangeshampeleka jela - Yuko makini. Baraza kuu lilipitisha maandamano hayo ili wakawaeleze watz ukweli tu. Hawakutumwa kwenda kufanya mzaha. Hiyo sivyo Dr Slaa binafsi alivyo, na siyo nmaazimio ya baraza kuu la Chadema lililowatuma. Kumbuka hawajiendei, wametumwa.

Mheshimiwa Sugu(Mr Two) akiwa kyela amekaliliwa akisema ameamua kua Mbunge wa. Kyela!
Hivi kweli kuwasemea watu wa kyela bungeni ni mpaka umalize matatizo ya mbeya mjini? Hivi wabunge ambao ni mawaziri wanapotumikia nchi nzima kama mawaziri wamemaliza matatizo katika majimbo yao? Kama kipimo cha kuwatatulia matatatizo watu wa majimbo mengine ni kumaliza matatizo ya jimbo lako?, Kama ndivyo, mbona pinda jimboni kwake watu hawana umeme wala nyumba za maana? Sembuse mr two kuwasemea majirani zake wa kyela bungeni? I don't see a problem, kama nimezidiwa na partisanship au uchadema nikosolewe kwa hoja.

Mh Regia Mtema una amaanisha Wabunge gani? Wabunge Wachadema hawalipwi hizo hela?
Chadema tuna deal na sera ya nchi (national policy) -not petty issues. Ndiyo maana Dr Slaa wakati anagombea hakuahidi bajaji, au kuwalipia watu madeni ya SACCOS, wala ujenzi wa vijibarabara vya hapa na pale aili apate kura. Yeye alijadili sera ya kodi, mfumo wa elimu, sera za ujenzi kwa ujumla, ukubwa wa serikali, anahoja kazi wakuu wa wilaya na mikoa wakati kikwete ana deal na kazi za wenyeviti wa Halmashauri na manispaa via mabajaji.
Regia kama mkuu wake wa kazi anajadili sera ya malipo ya wabunge kuwa ni kubwa na haiendani na ukuaji wa uchumi wetu wala haitendi haki kwa wafanyakza wengine nchini. Yeye na wenzake kususia mishahara yao ubunge kwa kuwa wanalalamika kuwa ni mikubwa siyo utatuzi, ni sawa na kumsusia mlevi pombe. Si ndo atafurahi?.
Pili, itawapunguzia watanzania umaskini kwa asilimia ngapi? Si, bora akachukua halafu akatumia kwenye maandamano kuwaelimisha watanzania kama anavyofanya sasa?
Hitimisho langu, kauli za viongozi wa Chadema ni hazina hata kidogo kwa mujibu wa thread hii.[/QUOTE]

At least wewe ni mmoja wa makada wachache sana wa CDM,wanaoweza kupangua hoja kwa hoja hata kama majibu yako ni ya kisiasa zaidi lakini umenivutia.

Endelea bro,unaweza kufika mbali sana na Chama chako
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kimsingi tukianza kufuatilia yanayofanywa na wanasiasa hatutayamaliza,hawa wana haki ya kutujulisha wananchi kile kinachoendelea serikalini ambayo si rahisi kwa mwananchi wa kawaida kuyajua!Nina hakika hawawezi kuongea bila evidences,lakini hebu tukumbushane waliyowahi kusema na yakawa kweli na kuzua mzozo,unakumbuka EPA,Richmond,Buzwagi,rada,Agreco,Meremeta,etc?kwanini leo tuwashutumu?tuwadharau?tuwaone hawafai?Zitto kasema kama ni uongo serikali itamke na iende mahakamani.Mimi naona bora tusubiri hilo ndo tuanze hili.
 
mwenda wazimu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! This very crazy kama tuna watu kama hawa.

Usishangae ndugu yangu huyo anaweza kuwa mmoja wa mawaziri ndani ya nchi hii ambayo wewe ni raia and you expect miracle from this kind of people who can not do things objectively ila kwa hisia na ushoga kwamba this is my firend let me support him hata kama anachoki support kina mcost yeye na familia yake. Badala ya ku support wale ambao through their ideas wanaweza badilisha hata quality ya sehemu anayoishi ambapo kajenga kuta zenye garama ya billions aliyo kwapua kwenye public funds lakini jirani kuna mazalia ya mbu kibao na sewage system general ina tema perfume ya kufa mtu.
 
[/SIZE]

Mbowe anajua kweli asilimia 35 ya bajeti ni kiasi gani?
Kikwete mwenyewe alisema kuwa 30% ya fedha za Umma zinaliwa na viongozi wabovu serikalini kabla ya uchaguzi sikumbuki tarehe na mwezi. Sasa kwanini unashangaa 35% ya mbowe haushangai 30% ya Kikwete mwenyewe? Inawezekana kabisa JK amepunguza 5% kwa kuona aibu.

Pili, kikwete hakutaja reference yo yote, alijiongelea mwenyewe, wakati Mbowe ana reference. Je kati ya hawa tumwamini nani? Mimi nitamwamini mbowe ambaye ana kitu cha kurejea hata kama hakutaja jina lake kwa kuwa historia ya kufanya mzaha ktk masuala yanayohusu taifa.
Dr Slaa nae akiwa Tunduma amesema Biilioni 200 zimeliwa na Viongozi wa serikali zilikua kwa ajiri ya kulipa deni la Taifa
Tangu lini Dr Slaa akawa mfanya mzaha? Yaani azunguke nchi kutania au kusema uwongo? Ingekuwa hivyo, kwa kauli zake zote alizotoa dhidi ya viongozi wakubwa akiwahusisha na ufisadi akiwepo kikwete wangeshampeleka jela - Yuko makini. Baraza kuu lilipitisha maandamano hayo ili wakawaeleze watz ukweli tu. Hawakutumwa kwenda kufanya mzaha. Hiyo sivyo Dr Slaa binafsi alivyo, na siyo nmaazimio ya baraza kuu la Chadema lililowatuma. Kumbuka hawajiendei, wametumwa.

Mheshimiwa Sugu(Mr Two) akiwa kyela amekaliliwa akisema ameamua kua Mbunge wa. Kyela!
Hivi kweli kuwasemea watu wa kyela bungeni ni mpaka umalize matatizo ya mbeya mjini? Hivi wabunge ambao ni mawaziri wanapotumikia nchi nzima kama mawaziri wamemaliza matatizo katika majimbo yao? Kama kipimo cha kuwatatulia matatatizo watu wa majimbo mengine ni kumaliza matatizo ya jimbo lako?, Kama ndivyo, mbona pinda jimboni kwake watu hawana umeme wala nyumba za maana? Sembuse mr two kuwasemea majirani zake wa kyela bungeni? I don't see a problem, kama nimezidiwa na partisanship au uchadema nikosolewe kwa hoja.

Mh Regia Mtema una amaanisha Wabunge gani? Wabunge Wachadema hawalipwi hizo hela?
Chadema tuna deal na sera ya nchi (national policy) -not petty issues. Ndiyo maana Dr Slaa wakati anagombea hakuahidi bajaji, au kuwalipia watu madeni ya SACCOS, wala ujenzi wa vijibarabara vya hapa na pale aili apate kura. Yeye alijadili sera ya kodi, mfumo wa elimu, sera za ujenzi kwa ujumla, ukubwa wa serikali, anahoja kazi wakuu wa wilaya na mikoa wakati kikwete ana deal na kazi za wenyeviti wa Halmashauri na manispaa via mabajaji.
Regia kama mkuu wake wa kazi anajadili sera ya malipo ya wabunge kuwa ni kubwa na haiendani na ukuaji wa uchumi wetu wala haitendi haki kwa wafanyakza wengine nchini. Yeye na wenzake kususia mishahara yao ubunge kwa kuwa wanalalamika kuwa ni mikubwa siyo utatuzi, ni sawa na kumsusia mlevi pombe. Si ndo atafurahi?.
Pili, itawapunguzia watanzania umaskini kwa asilimia ngapi? Si, bora akachukua halafu akatumia kwenye maandamano kuwaelimisha watanzania kama anavyofanya sasa?
Hitimisho langu, kauli za viongozi wa Chadema ni hazina hata kidogo kwa mujibu wa thread hii.

At least wewe ni mmoja wa makada wachache sana wa CDM,wanaoweza kupangua hoja kwa hoja hata kama majibu yako ni ya kisiasa zaidi lakini umenivutia.

Endelea bro,unaweza kufika mbali sana na Chama chako[/QUOTE]

Hii kwa wana CHADEMA ni core value ndugu ama hujaona wanao tu represent bungeni? Ukiona wawakilishi wetu ujue ndiyo sura halisi ya chama chetu. Wa chama cha magamba si unawaona hapa tu huhitaji kuambiwa ndiyo members kwa maneno yao unawatambua tu maana utafikiri wote walipokuwa kivukoni walikuwa wanafundishwa usanii; never serious hata kwenye issue zinazo hitaji seriousness!
 
Usiogope hata CHADEMA ikipotea utaendelea kuishi na tumbo lako litakaa vizuri tu! sawa dada?
 
Back
Top Bottom