Dr. Slaa, Mbowe waweka historia Kilombero!

CHADEMA inatisha na hii inaashiria kwamba, siku zimesalia chache sana kwa makamanda hawa kuchukua nchi na taifa letu la Tanzania kuingia katika historia mpya kwa kupata uhuru mpya. MUNGU IBARIKI CHADEMA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Yule bosi wa magamba alidai ni upepo tu ktk mgomo madaktari,kiaina fulani akamtuma yule charii kukikoboa usoni afuate nyayo za cdm mikoani,sijui kafia wapi maana haonekani na hasikiki tena.
 
Where is Zitto kabwe huyu jama mbna simwelewi ziara kama hiziz mbna haonekani..!!
 
Huyu jamaa haimwenei kabisa, tunamjua lema, ni kamanda wa ukweli, Arusha adabu tele ameifanya, ibadilike kimtazamo na kifikra-------Long live CHADEMA, long live COMMANDER LEMA
 
kwa akili ya kawaida tu kama msikitini wnakuja waumii wastani wa ishirini halafu siku hio wakaja 25 kati ya waislam waliopo mfano wapo 30 kijijini .....maanake nini kimehasabu? au wewe kuvunja record ni mpaka idadi ya watu iwe wengi kama dar au mwanza
tumia akili na elimu yako kufikiri kuliko kukariri


Huyu Chama na watu wa aina yake ni wale akina Pangloss wale aloandika Jenarali Ulimwengu
 
Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.

Chama
Gongo la mboto DSM
chama Hizi ndio athari za kunywa mataputapu. Unashindwa kusoma hata kupapasa pia??
 
Last edited by a moderator:
Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.

Chama
Gongo la mboto DSM
,
Usipotoshe ukweli ndugu,Watanzania wanataka ukweli wa maisha yao ya baadaye,tafadhali jenga hoja za kutetea kile unachoamini wewe,M4C inasonga,
 
watu wanakwenda kusikiliza mipasho na vijenbe,hao hao ukiwaambia kesho kuna semina ya ujasiamari ili wajiajiri hutwaona wote wamelewa,wakiambiwa mipasho na matumaini ya uongo wanajazana.
 
mkuu hapo kwenye red,ni ushabiki,ulimbukeni,ukereketwa au dharau kwa chama????unamfahamu vizuri mtu anaeitwa Freeman Mbowe???huyo ndio mwenye hicho cheo.

Mkuu Freeman Mbowe ni Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, usichanganye hiyo kitu.
 
Ahaaa haa wewe ndiye mwenye akili finyu ikiwa kama viongozi wanajikopesha pesa za chama hapa ni siasa au saccos

Chama
Gongo la mboto DSM

hivi wewe chama unashupalia deni wewe ndio ulikopesha? pilipili ziko shamba wewe zakuumia nini?
 
Last edited by a moderator:
CCM,kwa hiari yake,iliamua kukabidhi kwa serikali ,Chuo cha Kivukoni kilichokuwa na dhima ya kufundisha makada wake nadharia za siasa na uongozi.Tunasimuliwa ,kuwa,wakati huo vijana na makada wake walikuwa ni mahiri katika fani za ujenzi wa hoja za kimantiki tena zilizojengwa katika nadharia na itikadi za Karl Max.
Sasa Kivukoni imekabidhiwa serikalini na wakuu wa chama hawakuona umuhimu wa kuanzisha chuo mbadala kwa makada wake...
Chuo hicho kilikuwa na maana sana wakati wa mageuzi kuliko ilivyokuwa wakati wa ''chama kushika hatamu''.
Matokeo yake watetezi wa CCM,wakiwemo hapa jamvini, wanaanika udumavu wa fikra kwa upotoshaji usiomithilika
Kwa kweli mimi ningeshangaa sana kama wangekuwa wanajenga hoja kisayansi!Sasa ajitokeze mtu anieleze hawa jamaa wanajifunza wapi?Nani anieleze kama chama hicho bado kinao uwezo wa kuwavutia wajenzi mahiri wa hoja kujiunga nacho!Kweli hawa ni kina Pangloss aliowachambua Jenerali Ulimwengu!
 
Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.

Chama
Gongo la mboto DSM


We unafikiria kwa kutumia masaburi nini?kwani kasema historia haiwezi kufutika tanzania nzima au kanda ya kati ikiwepo ifakara?soma kitu ukielewe siyo unakurupuka tu,we ni msemaji wa saccos?kama umekosa hoja za kuongea si lazima useme kaa kimya tu hata ukinuka mdomo siyo mbaya kuliko kuweka uharo kama huu
 
Mkuu Freeman Mbowe ni Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, usichanganye hiyo kitu.

Asante mkuu kwa kumsaidia huyo Magamba.Kila chama Mkiti ndiye kiongozi mkuu wa chama,na hata CDM Mbowe ndiye kiongozi mkuu wa chama.Hakuna mahali popote mwandishi amemtaja Dr Slaa kama kiongozi mkuu wa CDM.Alichosema mwandishi ni kwamba Dr Slaa ni kiongozi mkuu wa upinzani NCHINI.Hiyo ni sawa kabisa kwa sababu Dr Slaa ndiye mpinzani mkuu wa Rais aliyeko madarakani kutokana na matokeo ya uchaguzi wa mwisho wa Urais,huo ndiyo ukweli na anayebisha ni sawa na mjinga na anadanganya nafsi yake mwenyewe.Hata hivyo hiyo haimaanishi ndani ya chama chake ni mkubwa kuliko Mkiti wake....
 
Walisombwa na Malori? Hapana

Kulikuwa na ubwabwa ? Hapana

Kulikuwa na chopper (helicopter) hapana

Ni mapenzi mema kwa CDM
 
Back
Top Bottom