Deogratius Mosha
Member
- Aug 3, 2012
- 25
- 3
CHADEMA inatisha na hii inaashiria kwamba, siku zimesalia chache sana kwa makamanda hawa kuchukua nchi na taifa letu la Tanzania kuingia katika historia mpya kwa kupata uhuru mpya. MUNGU IBARIKI CHADEMA, MUNGU IBARIKI TANZANIA