Dr. Slaa, Mbowe na Godbless Lema wakamatwa

asante sana,mnatusaidia sana kuweka wazi wafuasi wa hiki chama ni watu wa aina gani.Mlikuwa mnapinga kwamba ni propaganda za ccm.Endeleeni kutoa ushuhuda.Na mwingine aje jamani
godlisten nikufundishe kitu
kwanza hongera kwa taarifa
vita vyetu si juu ya damu na nyama
--watapiganaaaaaaaaaaaa lakini awatashindaaaaaaaa
--Mungu awasimamie so wewe kama wewe hata uitaji kwenda huko simama na NENO LA MUNGU ATAWATOA
nimeona mimi hili live....tena hapo central wakati nikiwa natafuta leseni nikazungushwa na wengi sana
wengine wanataka hela ndefu kama wananunua ikulu nikamwomba mungu nikasima na kumuitisha kuanzia rto na wengine wote wawe chini yangu nitakapofika nakuhakikishia nimefika kwa inspector mmoja aliposhindwana na mimi kwenye mahesabu akaniambia nenda kwa rto..kumbe ananipa green light nilipofika nikawakuta kama watu 4 alipokuja kutoka nje akamuuliza kamama kamoja secretary wake hawa wanashida gani mnawajaza hapa ovyo wakasema leseni akatuita wote akatuambia ni nii ni zaidi tukamwambia nakwambia yule baba alichukua karatasi akaomba majina yetu na kuttuliza wewe unataka leseni gani .d.e. kila mtu akataja anayoitaji...akaandika notice twende kwa inspector fulan akatupe leseni tulipofika karatasi nampa inspector alienitolea nje kunipa leseni tena kwa pesa akakuta memo wapeni haraka sana leseni na mwisho akaandika marufuku kuleta watu ofisini mwangu hii siyo sehemu ya kutolea leseni mungu ambariki sana ...nikatoa docs zangu nikaja baada ya siku 4 ...yule inspector akuamini kilichotokea labda nikupe ushuhuda zaidi leo ni mzee wa kanisa ninalosali huyo inspector
na aliletwa na rafiki wa mkewe akaleta ffamilia nzima..so swala sio kuwatoa swala ni kujua mamlaka tulionayo hapa dunian wish ningewaambukiza kila mmoja mamlaka nilionayo hata huyo mbowe na silaa wanachoongea sio wao ni mungu anawatumia so wala msihangaike ni mapito na ninavyoongea...nenda kama unaenda fika pale sema nakutiisha ewe sheria/inspector na kila mamlaka iliochini ya ardhi ya central ukawaaachie watu hawa taja majina kwa jina la yesu wawe huru..ukiishia watu hawa mungu anasikia atawaachia hata majambazi yaliokamatwa usiku wa kuamkia leo so uwe makini unachoongea

MUNGU AKUBARIKI
 
Mkuu tuweke pembeni ushiriki wangu ITV, tujadili hoja hii inayohusu mustakabali wa Taifa letu. Nimetaka abadilishe kuwa iko confirmed kuwa wako central. Wamekamatwa, ama wamejipeleka si hoja. Hoja ni kuwa wako central na polisi wanawahoji.

Mkuu kama wanahojiwa mbona kawaida tuu, mie nilikuwa interested namna walivyofika hapo ok under escort or? nilitaka kwenda maani nipo jirani tu hapa but kama wanawahoji haina shida,
 
Wasee wajenge ma godown kabisa ,kwa hali ya mambo ilivo watakamata wengi wengi mno.
 
Kosa ni nini?

hakuna kosa hasa nikifuatllia mwendelezo wa matukio. ni kwenda kutoa maelezo tu basi. Unajua baadhi ya watu bado ni mwaka 1950s, ambao unajua kuitwa polisi, basi una kosa kumbe unaweza kuitwa kwa kuwa wanaamini una taarifa za mhimu kuwasaidia kufanya kazi zao za kila siku.

Viongozi wetu wameitwa baada ya kusema kuna njama wamebaini kuna watu wanataka kuwamaliza, sasa kuitwa na kutakiwa kutoa maelezo ndo wafuasi wao tuandamane? mbona hata akili hatuna? tumependa kupita kiasi sasa tumeondoa ubinadamu wetu(social being) na kuingiza unyama, ambapo pa kutumia akili, tunatumia maguvu tu.

kwani wameenda kufungwa kama mandela?
 
Bora wamewashika mchana kweupe.. manake mambo ya usiku hua yanaishia msitu wa pande..

Mungu walinde wapiganaji wetu
 
nani asiyejua kama hiki ni chama cha wachaga na siku hizi wakatoliki nao wamejiunga.Hata wewe waonekana ni mchaga pia.Pole sana ukweli unauma

mimi ni mchagga ndiyo, but it does not mean wote tunaoishi arusha ni wachagga, arusha kabila kuu ni wamasai, wameru, pamoja na wairaq ambao asilimia kubwa wao wanatokea manyara,, sasa huo ukabila unatoka wapi ndigu yangu, mbn unapandikiza udini, ukabila na chuki kwa chadema???,.
 
Na bila shaka hii haitakuwa hbr nzuri kwetu Wanamapinduzi!

Ila hakika nawaambia wadau ya kwamba hii serikali ya mafisadi wanajichimbia kaburi ingali mapema na watajizika wenyewe!

Ngoja habari hii ije na taarifa kamili na tujue kilichopelekea haya kuwa hivi!

Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa. (Matayo 5:6)
 
nani asiyejua kama hiki ni chama cha wachaga na siku hizi wakatoliki nao wamejiunga.Hata wewe waonekana ni mchaga pia.Pole sana ukweli unauma

We kabila gani???????????? anzisha na wewe chama chako maana wivu unakutesa mi ntajiunga
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom