Wafuasi wa Dr Slaa wamekuwa kama wamerukwa na akili vile.
Yani wamefikia hatua ya kumuita babu Slaa rais!?
Sasa sijui wamesahau matokeo ya tume ya uchaguzi mwaka 2010 pale Dr Slaa alivyopata kichapo cha haja kutoka kwa jemedali, amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Dr wa ukweli, his excellence Dr Kikwete.
Huyo Slaa mtaendelea kumpigia jeramba huko vichochoroni ila Watanzania wenye akili timamu wanajua nani yupo magogoni.
Yani wamefikia hatua ya kumuita babu Slaa rais!?
Sasa sijui wamesahau matokeo ya tume ya uchaguzi mwaka 2010 pale Dr Slaa alivyopata kichapo cha haja kutoka kwa jemedali, amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Dr wa ukweli, his excellence Dr Kikwete.
Huyo Slaa mtaendelea kumpigia jeramba huko vichochoroni ila Watanzania wenye akili timamu wanajua nani yupo magogoni.