Dr Slaa Live on Startv - March 31, 2014

Dr Slaa Live on Startv - March 31, 2014

anasaini mikataba ya ushoga na atalaaniwa..

Usipoteze muda na bundle lako la internet kuandika pumba mitandaoni.

Hivi huoni aibu kusema mambo ambayo hayapo!!!?

Jiheshimu, unatia aibu sana.
 
ahaaa naona kashaona fursa ya kurudisha umaarufu wake uliopotea...........nasubiria pumba zake
 
Kaburungu na Rugaijamu

Kuna haja gani ya kujibizana na watu ambao mnajua wamekuja hapa makusudi kuwaondoa kwenye mjadala.

Daktari anaendelea kushusha nondo za ukuu wa katiba.
 
Akili mbovu kabisa, hujamasikiliza nini anasema unakuja na upuuzi wako eti hana mvuto pathetic!!! nenda MMU.


Sent from my iPhone using JamiiForums app.

Ralax wewe mwehu...mbona ume-panic sana!!? Nimetoa mawazo yangu kwa jinsi ninavyo muona Dr Slaa kwa sasa. So, what's the problem with that?
 
Kaburungu na Rugaijamu

Kuna haja gani ya kujibizana na watu ambao mnajua wamekuja hapa makusudi kuwaondoa kwenye mjadala.

Daktari anaendelea kushusha nondo za ukuu wa katiba.

Asante kamanda.


Sent from my iPhone using JamiiForums app.
 
Naona jamaa wa Dar naye yuko sawasawa anassanasema CCM haiko katika misingi ya haki. Anasema kiuhalisia serikali tatu zimekuwepo siku zote.
 
Kaburungu na Rugaijamu

Kuna haja gani ya kujibizana na watu ambao mnajua wamekuja hapa makusudi kuwaondoa kwenye mjadala.

Daktari anaendelea kushusha nondo za ukuu wa katiba.

Jiheshimu wewe, unadhani wewe ndio mwenye haki pekee humu kufanya majadiliano?

Hivi kwa namna hii ya kuziba watu midomo, CHADEMA ikiingia ikulu italinda haki ya "freedom of expression" kweli?

Jitambue wewe na uache umsukule.
 
Huyu Mzee hapa anapiga nondo. Anasema wananchi wameshirikishwa kinadharia. Anamshangaa Rais kwenda kutoa hotuba kupingana na maoni ya wananchi. Tena kwa kuelekeza. Mwananchi Solomon anakubaliana na Daktari Slaa kuwa katiba inapaswa kutokana na wananchi na kwamba hotuba ya Kikwete ilichanganya wananchi.
 
Jiheshimu wewe, unadhani wewe ndio mwenye haki pekee humu kufanya majadiliano?

Hivi kwa namna hii ya kuziba watu midomo, CHADEMA ikiingia ikulu italinda haki ya "freedom of expression" kweli?

Jitambue wewe na uache umsukule.

Acha kutukana matusi wewe kijana.Ficha ujinga wako lakini usifiche hekima yako.
 
Mungu mkubwa maana pumba za kikwete, na uswahili wake tunazifuta RASMI AKILINI MWA WATZ, WAKUBWA ZILIKIZENI RAIS WANGU Dr Slaa. serikali TATU LAZIMA CCM PENDA WASIPENDE.
 
Dr.Slaa anazidi kuchuja kila siku.
 
Rais Slaa anafunguka kwelikweli hapa.Anaeleza kwa kirefu historia ya mchakato wa Katiba ilivyopita katika milima na mabonde mengi.
 
Mkubwa huyu mswahili kikwete, lazima aibike maana tanganyika yangu lazima irudi.
huyu mzee hapa anapiga nondo. Anasema wananchi wameshirikishwa kinadharia. Anamshangaa rais kwenda kutoa hotuba kupingana na maoni ya wananchi. Tena kwa kuelekeza. Mwananchi solomon anakubaliana na daktari slaa kuwa katiba inapaswa kutokana na wananchi na kwamba hotuba ya kikwete ilichanganya wananchi.
 
huyu ndiye rais wangu Dr Slaa, i worth to listern him all the time.
Rais Slaa anafunguka kwelikweli hapa.Anaeleza kwa kirefu historia ya mchakato wa Katiba ilivyopita katika milima na mabonde mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom