KIBONGOMKUTI
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 1,425
- 616
Dr. Slaa akaribishwe tena ili kuweka mambo bayana
Mungu mkubwa maana pumba za kikwete, na uswahili wake tunazifuta RASMI AKILINI MWA WATZ, WAKUBWA ZILIKIZENI RAIS WANGU Dr Slaa. serikali TATU LAZIMA CCM PENDA WASIPENDE.
Dr.Slaa anazidi kuchuja kila siku.
Aliyo ongea Dr Slaa kwa muda aliokuwa studio yana uzito sawa na hoja za mzee warioba alizowasilisha kwa masaa 3! Hayawezi kujibika kwa mipasho wala nahau za ngomani kama alivyofanya mwenyekiti wa ccm, eti" asiye na kitu ni kinyama mwitu..."! Hoja zile zinaweza kueleweka kwa watu waliotulia vichwa na kuitakia mema Tanzania yenye muungano wa Tanganyika (sio Tanzania bara) na Zanzibar. Huku tukiwa na serikali tatu, Tanganyika, Zanzibar na ile ya Muungano.
Yaani mtu akitofautiana mitazamo na Chaema njaa inamsumbua.umeamua kuishi kitumwa,muda ukifika utakombolewa tu kifikra maana sio kosa lako,ni njaa tu inayokusumbua!!!
Hoja za Slaa ndio zipi mbona hamzisemi?
Pole sana!Dr Slaa hana tena mvuto wa kisiasa kwa Watanzania; Dr Slaa kwa sasa hata udiwani akigombea kura hapati.
Mtu wa aina hiyo ambae Watanzania hawana habari nae unadhani atakuwa na umuhimu gani kwenye jamii?
Habari ya mjini kwa sasa ni Lissu tu huko CHADEMA.
CHADEMA WAMTELEKEZA MGOMBEA UBUNGE WAO CHALINZE
Zikiwa zimebakia siku zisizozidi sita wananchi wa Chalinze kupiga kura kuchagua mbunge wao, ni dhahiri kuwa Viongozi wa juu wa Chadema wamemtelekeza mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema jimboni humo Bw. Mathayo.
Mwananchi mmoja akilalamikia hili anasema, "..tulidhani Chadema ni Chama ya ukombozi, tukadhani maneno ya kuwa kinabagua na kutoa upendeleo kwa wachaga tu ni propaganda za CCM kumbe kweli bwana! Hivi huyu bwana angekuwa mchaga wasingeleta CHOPA hapa?,huku ni kumtelekeza Mathayo kisa sio mchaga!" Alilalamika kijana wa kimasai wa Chalinze mjini.
wewe unachukua maoni ya mama yako na kuayafanya ya watanzania? hayao yanakufaa wewe tangu lini watanzania wakakupa usemaji wao? na umezungumza nao lini kuhusu mvuto wa viongozi sasa wamekuambia nani anawavutia? na ulitumia mbinu gani kuwasiliana nao? acha ujinga!!!Dr Slaa hana tena mvuto wa kisiasa kwa Watanzania; Dr Slaa kwa sasa hata udiwani akigombea kura hapati.
Mtu wa aina hiyo ambae Watanzania hawana habari nae unadhani atakuwa na umuhimu gani kwenye jamii?
Habari ya mjini kwa sasa ni Lissu tu huko CHADEMA.