pamoja makamanda one love
Nakugongea LIKE mkuu!
pamoja makamanda one love
Mkuu Mtoi huyo Prof. Shivji naona hayo maccm yanamtumia vibaya, mwenyewe nilijiuliza hata aina ya vijana waliokuwepo jana waliwapata wapi
chadema tuunde serikali yetu ya tanganyika bana,,ccm wanatuzingua sana
acha unafiki tunajua unacholenga wewe mla sembe
hao vijana waliokuwepo si ndio haya mabuk 7 yaliyoamua kukalia akili!
sema moyoni kwako. unamsifia mbulu mwenzako