Dr Slaa Live on Startv - March 31, 2014

Dr Slaa Live on Startv - March 31, 2014

Mkubwa huyu mswahili kikwete, lazima aibike maana tanganyika yangu lazima irudi.

Hakika leo Rais Slaa analitikisa Taifa kwa maneno mazito.Hakika nchi imesimama kufuatilia mjadala huu Star TV
 
Jiheshimu wewe, unadhani wewe ndio mwenye haki pekee humu kufanya majadiliano?

Hivi kwa namna hii ya kuziba watu midomo, CHADEMA ikiingia ikulu italinda haki ya "freedom of expression" kweli?

Jitambue wewe na uache umsukule.

hujielewi mbulura wewe zaidi ya kuwaza buk 7 !!!
 
Asante Dk Slaa kunifumbua macho, kumbe waliotengeneza katiba ya CCM (soon after muungano wa TANU na ASP) ndio haohao waliopewa jukumu la kuitengeneza katiba ya JMT!
 
Jamani Slaa anatisha..Imebidi mjadala wa Dar usitishwe ili kumpa muda wa kutosha Rais Slaa.
 
Ralax wewe mwehu...mbona ume-panic sana!!? Nimetoa mawazo yangu kwa jinsi ninavyo muona Dr Slaa kwa sasa. So, what's the problem with that?

Ukiomba jiwe unapewa jiwe, jibu ulilopewa linastahili kulingana na ujinga wako
 
Namuona Rais wa wanyonge akilitikisa Taifa

Get a life dude, acha kujidhalilisha kwa kulamba viatu vya babu Slaa.

Eti "rais ya wanyonge"! Pumba tupu. Ikulu ya rais wa wanyonge ipo wapi? Ufipa?

Watu wa aina yako ni vyema mpore hata pumzi zenu ili mtuondolee pumba hapa duniani. Ningekuwa rais ningewanyonga sana wahuni kama wewe mnaofanya uhaini.
 
Muda umekuwa mchache mno.Dr Slaa anaweza kuzungumza hata masaa matano na watu wakamsikiliza bila kuchoka.Rais wa Watu.
 
Maridhiano yatawezekana tu endapo Luna utashi wa kisiasa. CCM inalazimisha mambo yake kuwekwa kwenye katiba.

Kwa suala la katiba yuko tayari hata kuamushwa usiku wa manane kuzungumzia masuala ya watu.
 
Dr Slaa ni rais wa mioyo ya watz wapenda nchi yao! kiboko ya magamba na vibaraka vyao njaa kali.mabuk 7 yakilisikia jina lake yanapata BP!
 
Get a life dude, acha kujidhalilisha kwa kulamba viatu vya babu Slaa.

Eti "rais ya wanyonge"! Pumba tupu. Ikulu ya rais wa wanyonge ipo wapi? Ufipa?

Watu wa aina yako ni vyema mpore hata pumzi zenu ili mtuondolee pumba hapa duniani. Ningekuwa rais ningewanyonga sana wahuni kama wewe mnaofanya uhaini.

Unavyotoka mapovu ndiyo furaha yangu.Najua kisu kimefika kwenye mfupa.

Viva Rais Slaa.Rais wa wanyonge Tanzania!
 
Asante mungu kwa kumpa uhai zaidi dk.slaa raisi wangu mpendwa.
 
Jamani Slaa anatisha..Imebidi mjadala wa Dar usitishwe ili kumpa muda wa kutosha Rais Slaa.

Mkuu Dr Slaa hatari, saa moja imeisha kama mchezo, na ndo kwanza kipindi kilikuwa kimeanza kunoga, Mungu ambariki sana Doto Bulendu na crew nzima ya star tv.


Sent from my iPhone using JamiiForums app.
 
Kajiatahidi sana kuelezea jinsi wanansiasa wa Zanzibar wanavyotupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Kama wao wametengeneza katiba yao ili nchi yao iendelee kuwa imara hawafikirii hata serikali 1 basi tuzilete 3 ili kila nchi iwe na utawala wake.
 
Get a life dude, acha kujidhalilisha kwa kulamba viatu vya babu Slaa.

Eti "rais ya wanyonge"! Pumba tupu. Ikulu ya rais wa wanyonge ipo wapi? Ufipa?

Watu wa aina yako ni vyema mpore hata pumzi zenu ili mtuondolee pumba hapa duniani. Ningekuwa rais ningewanyonga sana wahuni kama wewe mnaofanya uhaini.

msukule kama wewe huwezi jielewa,njaa imekufanya uwe mwe.hu!
 
get a life dude, acha kujidhalilisha kwa kulamba viatu vya babu slaa.

Eti "rais ya wanyonge"! Pumba tupu. Ikulu ya rais wa wanyonge ipo wapi? Ufipa?

Watu wa aina yako ni vyema mpore hata pumzi zenu ili mtuondolee pumba hapa duniani. Ningekuwa rais ningewanyonga sana wahuni kama wewe mnaofanya uhaini.

ulimaliza dozi ya milembe?
Na je kama hukuimaliza utawezaje kutambua dk.slaa kama raisi wako wakati wewe mwenyewe akilini kun wahka?
 
Aya muda mfupi mno mbona mtu huyu hapewi covarage Doto Bulendu big up.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom