Elections 2010 DR.Slaa Kuunguruma Jangwani Kesho tarehe 07/08/2010

Aloo kumbe hamna watu maana watu wakiwa wengi panajulikana ,watu hawafiki hata mia mnapiga makelele ,nasema subirini ngangari wakianza mambu yao ,eti si mnawaelewa ,hawana msalietume wanasmokeout mpaka watoto wadogo ,wazee kwa vikongwe ,afu izo kashkash zao mji mzima unatikisika ,yaani nakumbuka ni jinsi gani hiki CUF kilivyojaaliwa ,watu wanakipenda natural ,tusiandikie keyboard ,ni kalibi kampeni zitaanza ,hapo ndio mtaelewa kuwa mlenda si mchuzi !
 
jamani hana stylist huyu mtu? hilo shati la namna hiyo hapana kwa kweli....................wapiga kura wasiofungamana na chama chochote hasa wanawae atawakosa hapo

Nadhani inatakiw alitafutwe shati la kuchomekea ndani ya suruali, pia liwe lina weza hata kuwekewa tai juu haa kama litakuwa narangi za bendera. Vile vile sio lazima mpangilio wa rangi za bendera uwe hivyo hivyo wakati wote kwenye mashrti, wanweza kutoka na design zingine mbali mbali. ikawa bluue na maua meupe na mekundu, au nyeupe yenye michoro myekundu na bluue ili mradi ina rangi za chama, Muda umeisha,, hayo mashati yatafutwe haraka iwezekanavyo. Lasivyo arudi kwenye Kombati
 
Ndo wametoka uwanja wa ndege. Msafara ulikwama kidogo Pugu Rd. Kulikuwa na ajali maeneo ya vingunguti
 
Ndo wametoka uwanja wa ndege. Msafara ulikwama kidogo Pugu Rd. Kulikuwa na ajali maeneo ya vingunguti

.
Helicopter ya rais haiwezi kwama vingunguti bana. Itatua jangwani moja kwa moja wakati ukiwadia. Labda waliokwama vingunguti ni viongozi waandamizi wa rais. Nami pia nasubiri kwa hamu update za rais Dr wa kweli sio yule wa hisani.
 
Ka Inzi hakawezi kutupa leo LIVE jamani?

Hawa jamaa wa TTCL siku CCM iko Dodoma walitoa Live. Ila leo wanajifanya hawawezi.

Rais Slaa atakuwa na kazi rahisi sana maana Viongozi wa mashirika ya Serikali wanaojivisha rangi ya Kijani watafahamika haraka sana safari hii. TBC1, TTCL na wengine wengi wasubiri kuondolewa na wahamie CCM makao makuu maana huko ndiko wanakoweza kufanya kazi kwa upendeo bila mtu kuwabughudha.
 
.
Helicopter ya rais haiwezi kwama vingunguti bana. Itatua jangwani moja kwa moja wakati ukiwadia. Labda waliokwama vingunguti ni viongozi waandamizi wa rais. Nami pia nasubiri kwa hamu update za rais Dr wa kweli sio yule wa hisani.

Kiby kama kuna Ajali itakuwa hai husiani na Msafara maana walikuwa wanakwenda taratibu sana. Dr Slaa akiwa kwenye gari open Roof akipungia wananchi walojitokeza barabarani kumpokea. Uwezekano wa ajali haukuwepo. Huo msafara mie niliupita pale kona ya Jet na mbele baada ya huo msafara kulikuwa kweupe hakuna magari. wana usalama walifanya kazi yao vizuri. wazee wa kazi nao walikuwa wametulia kwenye foleni ya magari yaliyokuwa nyuma ya huo msafara ama kwa hakika kila kitu kilikuwa shwari.

Tusubirie kusikia ya huko Jangwani. Leo Dr. atatia timu kwa gari sio Helikopta.
 
Endeleaaa, afadhali umetoa taarifa kidogo inatia moyo maana hawa akina malaria sugu wanaweza kufanya lolote.
 
Nadhani kuna kitu INADEQUATE kinaendelea now.
Hatupati updates za kinachojiri jangwani ilihali huwaga tunapata updates ya vinavyojiri while NEC ya CCM at motion.... leo nimeacha Blackberry yangu home ningewajuza walah
 
Shalom: Mchukia Ufisadi: e.t.c mpo wapi leo?

Of all the candidates - mbona hatupa news kutoka hapo desertwani?
 
Ingia Twitter wanatoa taarifa kila baada ya dk 10 au 20 mambo mengi sana yanaendelea na hata picha wameweka Twitter, Chdema wanafanya kazi nzuri sana kwa upande wa internet.... akina Malaria Sugu badala ya kuendeleza kejeli wangekuwa busy studying wenzao wajue wa-improve vipi... ila wacha walale....
Tweet ya mwisho ya Chadema:

CHADEMA inamuunga mkono Maalim Seif Sharrif kama mgombea wa Urais Zanzibar - Freeman Mbowe
Very interesting....
 
Wakati huu ahata JF ijitofautishe kinamna na ilivyokuwa inaoperate huko nyuma, watu watumie BlackBerry zao, lap top zao, simu, kuhakikisha watu ambao tuko nje ya maeneo ya matukio tunapata news. Nashangaa kukiwa na kitu kinaendelea kwenye TV kila mtu anajifanya kutoa LIVE sasa saa hizi ndio habari za live zinakuwa most wanted hakuna mtu wa kutupa Khaaaa Mweeee!
 
Wakati huu ahata JF ijitofautishe kinamna na ilivyokuwa inaoperate huko nyuma, watu watumie BlackBerry zao, lap top zao, simu, kuhakikisha watu ambao tuko nje ya maeneo ya matukio tunapata news. Nashangaa kukiwa na kitu kinaendelea kwenye TV kila mtu anajifanya kutoa LIVE sasa saa hizi ndio habari za live zinakuwa most wanted hakuna mtu wa kutupa Khaaaa Mweeee!

hamna mvuto. doroooo kabisa
 
Kuna habari za hapa na pale kuwa Slaa hajapata wadhamini katika mikoa ya Zanzibar ,hivi kuna umuhimu wa kupata wadhamini kutoka kila pembe ya Tanzania ?
 
Back
Top Bottom