Dr Slaa kutikisa Same Jumanne

Dr Slaa kutikisa Same Jumanne

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Kiongozi Mkuu wa Upinzani Nchini ambaye ni Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Peter Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Hedaru-Same Jumanne tarehe 15 January 2013.

Mbali na kuhutubia mkutano wa hadhara Dr Slaa anatarajiwa pia kupokea wanachama wapya wa Chadema,kufungua ofisi za Chadema kata ya Hedaru na kuzindua matawi ya Chadema maeneo ya Hedaru,Makanya na Same.

Tayari mji wote wa Same na vitongoji vyake kuna gumzo kubwa kuhusu Ujio huo wa Dr Slaa ambaye anaonekana kama kiongozi aliyevuka vizingiti vingi vya mahasimu wake huku nyota yake ikizidi kung'aa kila siku kuelekea mwaka 2015

Kwa sasa Katibu Mkuu huyo amejichimbia mkoani Kilimanjaro akiongoza vikao vizito vya Sekretariati yake ikiwa ni maandalizi ya operesheni kubwa ya kuimarisha chama chake kwa mwaka huu.
 
Safi sana ngoja wale Magamba waendelee na Propaganda za Mgogoro wakiamni kwamba kwa sasa Chadema ndo kuna migogoro ila CCM hakuna,
 
Pale ni kwetu siku nyingi,ninaamini nipa kuchochea kuni tu kwani moto pale ulishawaka siku nyingi.TUNAKUBALIKA HAPO KINOMA,MAGAMBA WANAHANYA.
 
Good,jamaa waloshindwa kuvuana magamba wakisikia hivi akili zinavurugika kabisa"
 
DR. pale ni kwa wakwe zangu - Ibakishe kidogo ccm wataninyanganya mke.
 
na pale kwenye yale magofu ya kiwanda hewa cha tangawizi cha mama wa kambo wa Le mutuz apite

Mkuu bluetooth huyu Mama mapovu yalimtoka bungeni akataka Waziri Mkuu apige marufuku mikutano ya Chadema.Eti wabunge wanavamiwa majimboni mwao.Utadhani anahatimiliki na Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Safi sana Makamanda pigeni kazi bila kuchoka,2015 CCM itakiona cha moto!
 
safi sana pale same kuna tatizo sugu la ukosefu wa maji ingawaje kuna mto unapita kwa chini wananchi wanataabika sana magamba wameshindwa jinsi ya kufanya katika hili ,pia same kuna machimbo ya vito kama ruby ,madini ya kutengeneza vioo hupatikana same ,na mawe ya chokaa kwa ajili ya cement hupatikana same .pamoja na haya yote maji ni tatizo kuu same .pia kuna upepo mkali sana huu hufaa kuzalisha umeme wa upepo na kuachana na umeme wa maji kwa wakazi hao
 
Kiongozi Mkuu wa Upinzani Nchini ambaye ni Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Peter Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Hedaru-Same Jumanne tarehe 15 January 2013.

Mbali na kuhutubia mkutano wa hadhara Dr Slaa anatarajiwa pia kupokea wanachama wapya wa Chadema,kufungua ofisi za Chadema kata ya Hedaru na kuzindua matawi ya Chadema maeneo ya Hedaru,Makanya na Same.

Tayari mji wote wa Same na vitongoji vyake kuna gumzo kubwa kuhusu Ujio huo wa Dr Slaa ambaye anaonekana kama kiongozi aliyevuka vizingiti vingi vya mahasimu wake huku nyota yake ikizidi kung'aa kila siku kuelekea mwaka 2015

Kwa sasa Katibu Mkuu huyo amejichimbia mkoani Kilimanjaro akiongoza vikao vizito vya Sekretariati yake ikiwa ni maandalizi ya operesheni kubwa ya kuimarisha chama chake kwa mwaka huu.

JUMA TATU YA TAR 14 JAN 2013 DR SLAA ANATARAJIA KUFANYA MKUTANO MKUBWA AMBAO HAUJAWAHI KUTOKEA KTK MJI WA MOSHI KTK VIWANJA VYA RAILWAY.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
JUMA TATU YA TAR 14 JAN 2013 DR SLAA ANATARAJIA KUFANYA MKUTANO MKUBWA AMBAO HAUJAWAHI KUTOKEA KTK MJI WA MOSHI KTK VIWANJA VYA RAILWAY.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.

Mkuu ABLE Habari njema sana hii.
 
Last edited by a moderator:
Safi sana!!!! Mama yake wa Kambo na Lemutuz pamoja ni ile mikorogo yake anayopaka usoni ajiandae kwenda kugombea jimbo la Ntera na Lusinde kwani Dr wa Ukweli anaenda kuteketeza ngome yake
 
Kiongozi Mkuu wa Upinzani Nchini ambaye ni Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Peter Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Hedaru-Same Jumanne tarehe 15 January 2013.

Mbali na kuhutubia mkutano wa hadhara Dr Slaa anatarajiwa pia kupokea wanachama wapya wa Chadema,kufungua ofisi za Chadema kata ya Hedaru na kuzindua matawi ya Chadema maeneo ya Hedaru,Makanya na Same.

Tayari mji wote wa Same na vitongoji vyake kuna gumzo kubwa kuhusu Ujio huo wa Dr Slaa ambaye anaonekana kama kiongozi aliyevuka vizingiti vingi vya mahasimu wake huku nyota yake ikizidi kung'aa kila siku kuelekea mwaka 2015

Kwa sasa Katibu Mkuu huyo amejichimbia mkoani Kilimanjaro akiongoza vikao vizito vya Sekretariati yake ikiwa ni maandalizi ya operesheni kubwa ya kuimarisha chama chake kwa mwaka huu.
Hapa Masalia na CCM, watakufa kwa kihoro...
 
Safi sana!!!! Mama yake wa Kambo na Lemutuz pamoja ni ile mikorogo yake anayopaka usoni ajiandae kwenda kugombea jimbo la Ntera na Lusinde kwani Dr wa Ukweli anaenda kuteketeza ngome yake
Kule yule bigwa wa matusi alisha waambia hata waende ukoo mzima atawatandika vibaya sana na ikumbukwe walingoa mashine walizokuwa wametoa kwa wananchi hivyo wananchi wa Mtera wana hasira na hawataki kusikia takataka ya Malecela...
 
Back
Top Bottom