nkondola amon
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 365
- 65
Bavichwa wakimtaja slaa wanatoka na povu!!haa haa nipo huku porini tunazitafuta kura bhana
Kama kingunge alivyokula hela za Lowasa.
hadi sasa goli moja moja, tuangalie tu kati ya Dr. Slaa na Kingunge nani ana mashiko ya kuwashawishi watu wa upande mmoja kuhamia upande wa pili kutokana na credibility zao
Ku*ya anye kuku, akin*ya bata kaharisha eeenh
Mtaisoma namba mwaka huu, Magufuli for Change
Ili tuhuma ziwe na mashiko inabidi kuwe na uthibitisho. Wewe uliwahi kuthibitisha? Au unamjua yeyote aliyewahi kuzithibitisha?
Na Lowassa kasema waziwazi, akiwa nje ya system, kwamba mtu yeyote anaweza kwenda mahakamani kumshitaki. Wote mmefyata mikia kama vijibwa koko.
Ili tuhuma ziwe na mashiko inabidi kuwe na uthibitisho. Wewe uliwahi kuthibitisha? Au unamjua yeyote aliyewahi kuzithibitisha?
Na Lowassa kasema waziwazi, akiwa nje ya system, kwamba mtu yeyote anaweza kwenda mahakamani kumshitaki. Wote mmefyata mikia kama vijibwa koko.
Mkuu upendo wa agape ndio ukoje maana wengine hatuujui.
Ukawa bwana! Juzi juzi hapa mlikuwa mnamuona Dk.Slaa ni kichwa cha trein/garimoshi, leo hii mnamugehuzia kibao kwamba Dk.huyo wa uhakika si lolote si chochote na matusi juu, sasa kwa hulka zenu hizi za kukosa msimamo mnabadirika badirika kama monsoon winds, hivi mna mategemeo ya kupigiwa kura na Watanzania ambao hawasukumwi na saikolojia ya fuata MKUMBO ambayo kisayansi ni asili mia 30% tu ya wapiga kura wote?Hahaa ajiandae kuzomewa sana, nazani anashauliwa vibaya sana na Josephine,
mtu wa ovyo kabisa aliewahi kutokea ktk siasa za nchi hii
akili ya kuambiwa changanya na yakobaada ya mambo kuwa magumu ndani ya ccm hasa baada ya kuona nguvu ya lowassa ikizidi kuongezeka kwa kasi, sasa aliyekuwa katibu mkuu wa chadema, dr. Wilibrod slaa atamnadi mgombea wa urais wa ccm dr. Magufuli.
Habari kutoka lumumba zinasema kwamba, awali slaa ilikuwa atumike kuinadi act-wazalendo lakini ikaonekana kwamba asingeweza kushwawishi wapiga kura katika kipindi hiki cha kampeni kuikubali act.
Lengo la kuinadi act lilikuwa kupunguza kura za upinzani hasa katika mikoa ya kigoma, tabora, ruvuma, kagera na mikoa ya kaskazini, lkn ikaonekana kwamba bado asingefanikiwa kushawishi wananchi.
Hivyo dr slaa atatumika kumnadi magufuli chama ambacho yeye amekuwa akikipinga na kusema tatizo sio mgombea bali mfumo wa chama chake ndio mbovu.
Sasa tunashuhudia slaa akisimamia asichokiamini.
Source: Mwanahalisi
Atakuwa amefanya jambo la maana kwasababu hadi sasa hivi kuna watu hawjaamua kupiga kura lakini kwa kupewa elimu na Dr Slaa wataamua.
Bavichwa wakimtaja slaa wanatoka na povu!!haa haa nipo huku porini tunazitafuta kura bhana