Itakuwaje kazi bila umeme? HAPA GIZA TU. Refere mgao unaozidi kuwa mkali. Nasema Hapa Giza Tu!! Maana hata viwanda vikifufuliwa hakuna kazi kwani Hapa giza tu.
Gazeti ili limekua la chama kimoja, linaona hoja za upande wa pili ni bora kuliko upande mwingine, likiendelea hvi litapunguza wasomaji
Natamani nipate picha zote za mwanahalisi za ukurasa wa mbele zilizokuwa zinamshambulia lowasa...kuna waandishi ni wanafiki sana
kaeni tu kalakabao. upepo unaelekea wapi inaoneka wazi nyie mnajinasib na ndoto ya mchana.Hahaa ajiandae kuzomewa sana, nazani anashauliwa vibaya sana na Josephine,
Mwacha amnadi tu, sisis ccm tunasema tatizo ni mtu siyo mfumo, chadema na ukawa ni wezi na wauaji, ni hatari kwa usalama wa taifa hamfai kupewa nchi,
Naomba hiyo jumatano ikifika kama Dr Slaa hajapanda jukwaani, mod wakutendee haki.
Mtu akienda kwenye profile yangu...atakuta sijachangia wiki sasa....mimi kazi yangu sasa ni kusoma...na kugonga :"like"" nasubiri trh 25/10 saa moja asubuhi.
By the way...simtukani mtu kuhusu afya yake...maana naona naweza nisifike huko kama nikifanya hivyo
Mkuu Jana kuna mtu ulimpa tuzo ya kiazi Wa mwezi ,Dr mihogo nadhani ataweka record Mpyamtu wa ovyo kabisa aliewahi kutokea ktk siasa za nchi hii
Mpaka nyomi wanaiba...nyomi za diamond, ya moto, kopa etc wanasema ni zao...Wizi mtupu mpaka nembo za chadema mnaiba tumeishawafahamu