Dr. Slaa kumnadi Magufuli Jumatano

Dr. Slaa kumnadi Magufuli Jumatano

Hahahahahaa....kuna watu waliwahi usema babu ni mtu wa system...
 
Naomba hiyo jumatano ikifika kama Dr Slaa hajapanda jukwaani, mod wakutendee haki.


Utavaa nini.jpg
 
Apande Slaa hata na Jane Mushumbuzi hawabadili kitu zaidi ya kujionyesha kuwa ni watu wazima hovyo.
Kama kweli itatokea hivyo, basi slaa atakuwa amedhihirisha wazi nia yake ovu aliyokuwa nayo katika kuleta mabadiliko ya kweli. Na atakuwa amedhihirisha kwamba ni kweli alipewa pesa n ccm ili avuruge na kusambaratisha Ukawa.
 
Sawa na ukawa waliposema.lowasa fisad lisha kumchukua so ngoma droo hapo
 
Slaa akifanya hivyo ataonesha unafiki wake hadharani.
Hata wale wafuasi wachache aliobakia nao watauona usaliti wake.
Na atathibitisha rasmi kuwa ana chuki binafsi na Lowassa na sio zile blah blah zake alizoziongea pale Serena.

Wanafiki wa kwanza ni chadema walitupigia kelele kwa zaidi ya miaka 7 kuwa Lower sir ni fisadi na hafai kuwa rais halafu leo wanamuuzia chama agombee urais.
 
Kweli maisha yanaenda kwa kasi. Sijui itakuwaje maisha ya wengine baada ya uchaguzi, zaidi ya kufa kihoro
 
Akimnadi Magufuli ndiyo itakuwa mwisho wa game.Vema awasafishe wengine kwenye list of shame amuache Lowassa na aombe msamaha kwa Mh.Rais kwa kauli zake za nyuma na akiri udini alioufanya kwenye last election
 
Kuna habari kwamba ataongea kwenye mikutano ya campaigns ya act kama "mgeni" na kumpaka lowassa kupitia mikutano ya act wazalendo, nia ni kumpunguzia kura lowasa na kumpaisha magufuri
 
Mnanichanganya kweli haki ya nane wallah!!!!!!! who is Dr. Slaa today?
 
Wanafiki wa kwanza ni chadema walitupigia kelele kwa zaidi ya miaka 7 kuwa Lower sir ni fisadi na hafai kuwa rais halafu leo wanamuuzia chama agombee urais.

Ili tuhuma ziwe na mashiko inabidi kuwe na uthibitisho. Wewe uliwahi kuthibitisha? Au unamjua yeyote aliyewahi kuzithibitisha?

Na Lowassa kasema waziwazi, akiwa nje ya system, kwamba mtu yeyote anaweza kwenda mahakamani kumshitaki. Wote mmefyata mikia kama vijibwa koko.
 
Hiyo habar ni uongo mtupu...huyo ni saiid kubenea na mwendelezo wa kuwachafua wabaharakat waliotoka chadema..........

Ukweli ni huu tarehe 7/10/2015 dr Wilbrod slaa atakuwepo iringa mjin katika uwanja maarufu kisiasa wa Mwembetogwa,, rasmi atajiunga na ACT WAZALENDO, nakumnadi mgombea wa ubunge kwa tiket ya ACT madam CHIKU AMBWALO pia kiongoz wa chama ndugu ZITTO ZUBER KABWE atakuwepo palepale.
 
Back
Top Bottom