Dr. Slaa kumnadi Magufuli Jumatano

Dr. Slaa kumnadi Magufuli Jumatano

Atakuwa amefanya jambo la maana kwasababu hadi sasa hivi kuna watu hawjaamua kupiga kura lakini kwa kupewa elimu na Dr Slaa wataamua.
 
Amerudi amechoka balaa:what: angalia asijeshindwa kupanda jukwaani😀

Huyu mzee kachoka sana kiukweli, nimemwangalia mara mbili mbili hata sijaamini. Lakini lowassa anazidi ku gain confidence kila siku ikaribiayo uchaguzi!
 
Huo ndio utakuwa mwisho wa CCM,..Maana wananchi wa leo ni waelewa sana.
 
Si alisema kastaafu siasa za chama atapanda jukwaa la ccm kumnadi Magufuli???
 
Kingunge naanza lini kumnadi Lowasa?

nina maswali mengi najiuliza,
nani alimlipia coverage Kingunge kurusha kipindi chake?
Nani kamnunua huyu mzee?

Huyu mzee ni msaliti kwa chama chake
 
Amekula hela za watu lazima azifanyie kazi! Huyu mzee anajiaibisha mpaka basi!

Kama kingunge alivyokula hela za Lowasa.

hadi sasa goli moja moja, tuangalie tu kati ya Dr. Slaa na Kingunge nani ana mashiko ya kuwashawishi watu wa upande mmoja kuhamia upande wa pili kutokana na credibility zao

Ku*ya anye kuku, akin*ya bata kaharisha eeenh

Mtaisoma namba mwaka huu, Magufuli for Change
 
Si alisema kastaafu siasa za chama atapanda jukwaa la ccm kumnadi Magufuli???

Tulieni dawa iwaingie, Kingunge amestaafu siasa, anachosema yupo tayari na tarehe 7 anaanza kumnadi Lowasa ni kitu gani?

Magufuli for Change
 
Slaa atakuwa hajitegemei kwa mawazo.

Wewe ndio unajitegemea kimawazo?

achene kufikiri kwa kutumia makalio, yeye ni Mtanzania, anayo haki ya kumsapoti yeyote anayeona anafaa kuongoza nchi yake, kama wewe unavyomsapoti huyo unayemsapoti, na kama vile Kingunge anavyomsapoti Lowasa.

Magufuli for Change
 
Dr. Slaa kweli atapanda jukwaani na kusema ccm oyee !!! ???....
 
Hivi, hilo gazeti la mwanahalisi lenye source ya hiyo habari, si ndio hilo hilo lililokuwa limetuaminisha watanzania kuwa Lowasa ni fisadi, na ndio gazeti pekee lililoandika ile list of shame? au ni gazeti jingine?

Kama Mwanahalisi na Kubenea walivyoamua kulamba matapishi yao ya kumwita Lowasa ni fisadi sasa hivi wanasema ni msafi, Wacha Dr. Slaa ampigie kampeni yule anayeona anafaa, Kubenea yeye ndo ana haki ya kugeuka ila wengine hawana?

Mmeshikwa pabaya kweli mwaka huu

Magufuli 4 Change
 
Amerudi amechoka balaa:what: angalia asijeshindwa kupanda jukwaani😀
Si kidogo, kupanda jukwaani bila kusaidiwa hawezi. Kuna mpuuzi mmoja wa Geita kasema eti alijinyea Chato stendi, upo?!

IMG_0178.JPG
 
mzee mihogo kumbe lilikuwa kachero LA ccm ndani ya chadema aibuu. hawezi badili mawazo yetu
 
Kingunge naanza lini kumnadi Lowasa?

nina maswali mengi najiuliza,
nani alimlipia coverage Kingunge kurusha kipindi chake?
Nani kamnunua huyu mzee?

Huyu mzee ni msaliti kwa chama chake

mmoja kati ya waasisi wa CCM mwenye kadi namba 3 al maarufu mwanasiasa mkongwe zaidi Tanzania, mzee Kingunge Ngombale Mwiru, amekihama chama hicho.

wewe wa jana usiyejua hata CCM ilitoka wapi unangoja nini!?

Tafakari sababu za Kingunge na uamue kama unahaja ya kubaki ccm.

TOROKA UJE.

NI MWAKA ULIOKUBALIKA!
Au mpaka Juma nyoso akushitue ⁉️⁉️👀
 
Hivi, hilo gazeti la mwanahalisi lenye source ya hiyo habari, si ndio hilo hilo lililokuwa limetuaminisha watanzania kuwa Lowasa ni fisadi, na ndio gazeti pekee lililoandika ile list of shame? au ni gazeti jingine?

Kama Mwanahalisi na Kubenea walivyoamua kulamba matapishi yao ya kumwita Lowasa ni fisadi sasa hivi wanasema ni msafi, Wacha Dr. Slaa ampigie kampeni yule anayeona anafaa, Kubenea yeye ndo ana haki ya kugeuka ila wengine hawana?

Mmeshikwa pabaya kweli mwaka huu

Magufuli 4 Change

Mkuu me huwa sichukui habari za mwanahalisi kama source,magazeti ya vyama daima hupendelea upande mmoja,the same kwa magazeti yanayomilikiwa na ccm
 
Magufuli 4 Change
 

Attachments

  • 1444031482558.jpg
    1444031482558.jpg
    24.1 KB · Views: 355
Sawa kabisa,ni mtanzania na ana haki hiyo,mbona sumaye anamnadi lowasa??
 
Back
Top Bottom