maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Slaa akifanya hivyo ataonesha unafiki wake hadharani.
Hata wale wafuasi wachache aliobakia nao watauona usaliti wake.
Na atathibitisha rasmi kuwa ana chuki binafsi na Lowassa na sio zile blah blah zake alizoziongea pale Serena.
Tunasubiri pia ushahidi wa GWAJIMA kule Afrika kusini na mzigo aliopewa na maafisa salama.Asipoangalia mawe yatamhusu labda CCM wamwongezee usalama