Dr. Slaa kumnadi Magufuli Jumatano

Dr. Slaa kumnadi Magufuli Jumatano

Duh!! naona mzee anadhalilika kwa kuendelea kutumika kwa kufuata mawazo na maelekezo ya mwanamke (Josephine) kwani huyu ndio wakara na kiunganishi cha CCM na Slaa hivyo kwa hicho atakachokifanya atakuwa anatumikia kile kiasi cha fedha walichopewa na CCM ambacho kipo katika himaya ya Josephine hivyo Slaa akisema akatae na fedha anakuwa kazikosa hivyo ni lazima azitumikie tu.
 
Bora wangetulia tuu. Wanazidi kuchochea hasira za peoples.....
 
Natamani nipate picha zote za mwanahalisi za ukurasa wa mbele zilizokuwa zinamshambulia lowasa...kuna waandishi ni wanafiki sana

Zitafute halafu ukiisha zipata utafute pia picha zote za mbele za Gazeti la UHURU na MZALENDO zilizokuwa zinamshambulia Slaa pia usisahau kukutana na NAPE, na wale vijana wengine wa UVCCM uwaulize kwa nini sasa hivi hawamshambulii SLAA? pia usisahau kumuuliza na mwenyekiti wenu Kikwete kwani kuna wakati alitamka wazi kuwa Slaa ni muongo, mzushi na mchonganishi je sasa hivi hizo sifa hana?
 

Attachments

  • 1444032159483.jpg
    1444032159483.jpg
    17 KB · Views: 354
Tulieni dawa iwaingie, Kingunge amestaafu siasa, anachosema yupo tayari na tarehe 7 anaanza kumnadi Lowasa ni kitu gani?

Magufuli for Change

Ilishindwa kuwaingia watu Serena itawaingia sasaivi???
 
Bora wangetulia tuu. Wanazidi kuchochea hasira za peoples.....

Hapana mwache aseme maana kuna siri zake ambazo baba mchungaji Gwajima aliziweka kipolo, kwa hiyo imefika muda wake wa kufahamika, eeeeeh maana kila jambo na wakati wake.
 
Bora kukosea kujenga nyumba kuliko kukosea kuchangua mke!
 
Sitegemei hilo tukio kutokea lakini kwa Dr mihogo linawezekana. Ngoja tusubiri
 
kwani mkuu hujaona source ya habari yanguu??

Mtu akienda kwenye profile yangu...atakuta sijachangia wiki sasa....mimi kazi yangu sasa ni kusoma...na kugonga :"like"" nasubiri trh 25/10 saa moja asubuhi.

By the way...simtukani mtu kuhusu afya yake...maana naona naweza nisifike huko kama nikifanya hivyo
 
Kama kingunge alivyokula hela za Lowasa.

hadi sasa goli moja moja, tuangalie tu kati ya Dr. Slaa na Kingunge nani ana mashiko ya kuwashawishi watu wa upande mmoja kuhamia upande wa pili kutokana na credibility zao

Ku*ya anye kuku, akin*ya bata kaharisha eeenh

Mtaisoma namba mwaka huu, Magufuli for Change

...hivi magamba sasa hivi mkitaka ushauri wa wazee wa chama mtaenda kwa nani?
1.mkapa (matusi)
2.tyson (ngumi)
.....!
 
lazima afanye hivyo vinginevyo ataendele kula mihogo ana hali mbaya watu wake washa mtema sasa anatapata2.
 
Gazeti ili limekua la chama kimoja, linaona hoja za upande wa pili ni bora kuliko upande mwingine, likiendelea hvi litapunguza wasomaji
 
Back
Top Bottom