Elections 2010 Dr. Slaa kujibu maswali "Live" ITV saa moja Usiku Jumamosi Hii

Mpuuzi. Unafikiri Dr Slaa ni mtu wa kuandaliwa maswali kama viongozi wa chama chako? Mdahalo ni LIVE hakuna kuchakachua. Nikufahamishe kuwa jukwaa hili lina option ya kuwa msomaji tu si lazima uchangie kama huna uwezo wa kujenga hoja za msingi. Nikukumbushe pia hapa si pa watu wa wakushikiwa akili.
 
Hawa CCM bana, kwa sasa wameshiwa hoja kabisa!! JK (Dr mezani) hawezi kuwa sawa na Dr. Slaa (PHD).

VOTE FOR CHEDEMA!!
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.

Wewe hakika ni bingwa wa upupu aka shehe ubwabwa.
 
Dr slaa wa ukweli.sio wa kuchakachua.unataka hutaki huyo ni Rais wetu from Nov 1
 
Ni sawa nitapuuza pia sitampigia simu kumwuliza swali nitampigia simu tarehe moja kumpongeza mimi na wengine wote watanzania unaosema tunajipanga kupuuza mahojiano so upo sahihi kabisa.
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.

wajuvi tushajua lengo lako ni kuongeza idadi thread hapa JF
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.

Matatizo ya mama kutumia maziwa ya kopo toka china badala ya kukunyonyesha ziwa lake matokeo yake ndo hayo.
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.

Duh,u-sheikh Yahya hadi kwenye vipindi vya tv ambavyo bado havijarushwa hewani?
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.


:washing::smash:
 
Kweli we kabichwa ka hoja, na mi napenda kushukuru kwa kutuutaarifu, mwambie na dingi ake Lizi ackose iyo kesho kutazama, ikiwezekana wakae wote sebuleni kwan ka wiki kao ka mwisho kukaa apo Feri.
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.

U just joined Jana 21 Oct,
u started with ujinga, i do not wonder ww ni CCM of which ur all wajinga,
only a week left to prove wa-tz wamechoka, idiot
GO ON DR Slaa
 
hii ni pumba ya mwaka...ni muhimu kupost kitu kwa kujali maslai ya watanznai sio kusukumwa na mahaba yako kwa chama chako..kimsingi wewe huwezi wasemea watanzania wanataka nini! you better https://jamii.app/JFUserGuide off...
tuta mtazama DR. Slaa kama wewe hutamtazama poa..na kwa taarifa yako mahojiano ya Dr Slaa yamekuwa gumzo kubwa mijini na vijijini...watu wote wanasema lazima wamuone..
mwaka huu mtameza viwembe mfe kwani Dr Slaa anawafanya ktu mbaya
 
Wasiwasi wangu ni kuwa wanaweza waambia TANESCO wazime umeme na kusingizia fault. Wakifanya hivyo itakuwa pouwa sana kwana ndiyo watakuwa wanazidisha hasira za wananchi juu yao na jiji lenyewe Dar joto. Kila mtu akijisikia vibaya hasira kwa CCM inapanda kwa nyuzi 100 zaidi
 
Nimelipenda jina...Bingwa wa Hoja! Tanzania tuna mabingwa na watu mahiri kila kona. Sijui nani nhuwa natoa vyeo vyetu hivi...au ndio kule kutofikiri sana kunachangia kukurupuka na maneno yasiyoleta maana?
Anyway, kuhusu suala la mdahalo, sikubaliana na hoja yako maana watanzania tuko karibu 40 Milion. Ukianza kusema on behalf of 40 Milion people lazima uwe umehitimu u professor ule wa kuongeza nguvu za kiume.
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.

Idiot! wewe labda bingwa wa hoja za ****** (TUSI BAYA). Tena uombe radhi kabla hatujaanza ku-ignore posts zako. nA WASIWASI WEWE NI MALARIA SUGU UMEKUJA NA ID NYINGINE! IDIOT!
 
Tunajua kwamba maji yamewafika shingoni. Mmejaribu kusomba watu na malori weee, mkawagawia khanga weee, mkawagawia tshirt, mkawagawia kofia na skafu jumlisha elfu mbilimbili lakini wapi bwana watu bado wapo kwa Dr Slaa. Mmesambaza message za uchonganishi na uchochezi, mmetumia jeshi kutishia wee, lakini hakuna kitu. Mwanzoni mlisema alifukuzwa upadre, mkaona haiuziki, sasa mmeanza tena kumwita padre wa katoliki. Hata hii haina soko kwa sasa. Mmebakiza siku nane za kuwa Ikulu.

Naamini watakaosusia mahojiano ya Dr Slaa ni mafisadi tu ambao wanajua Slaa hatasita kuwaumbua. Lakini watanzania watakuwa macho kujua Rais wao anasema nini! Au unajaribu kumlinganisha Slaa na Kikwete ambaye hotuba zake za Mwisho wa mwezi zimesusiwa? Mnatapatapa ndugu zangu, lakini msijali hiyo ni kawaida kwa mfa maji.

Naomba kutofautiana kidogo, Mafisadi ndio wanaoisubiri hayo mahojiano kwa Woga na hamu sababu Slaa ni Jinamizi la kutisha kwao USIPIME!
 
It's called, get-a-real-job muhf*, and ooh! muungwana says p'se get your mouf off his johnson coz he wanna go take a leak...head-first-fall for all yu infidels mnaojikomba kwa mafisadi, ever heard the ancient tale of SODOMISED PUPPETS? Now stay put!?
 
Back
Top Bottom