Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Mambo aliyodanganya Dr. Slaa
1. Kwenye Rada kulikuwa na Rushwa
2. Kuna wizi wa EPA ulifanyika
3. Kuna rushwa katika ununuzi wa ndege ya Rais
4. Kuna Rushwa kwenye ununuzi wa umeme wa Richmond/Dowans
6. Kuna Wizi kwenye Kagoda
7. Kuna Wizi kwenye Meremeta
8. Ugumu wa maisha unatisha Tanzania
9. Uchaguzi ulichakachuliwa
10. Uuzaji nyumba za Serikali uligubikwa na Rushwa
.
.
.
.
.
DO YOU THINK ALL THOSE ALLEGATIONS ARE CRAPS?
KWA MWANA CCM NA CUF ULIOMO HUMU JAMVINI:-
1. JE, UNAFIKIRI HAYO YOOTE NI UONGO NA UROPOKAJI?
2. KIPI MUHIMU KATIKA MAISHA YAKO; ITIKADI ZA CHAMA CHAKO AU UBORA WA MAISHA YAKO?
3. UNAFIKIRI INGEKUWA NI UONGO Dr. SLAA ANGEKUWA MTAANI ANAZUNGUKA HURU? KAMA UNAFIKIRI ANGEKUWA HURU MUULIZE MTIKIRA NA IDADI YA KESI ZINAZOMUANDAMA!!
1. Kwenye Rada kulikuwa na Rushwa
2. Kuna wizi wa EPA ulifanyika
3. Kuna rushwa katika ununuzi wa ndege ya Rais
4. Kuna Rushwa kwenye ununuzi wa umeme wa Richmond/Dowans
6. Kuna Wizi kwenye Kagoda
7. Kuna Wizi kwenye Meremeta
8. Ugumu wa maisha unatisha Tanzania
9. Uchaguzi ulichakachuliwa
10. Uuzaji nyumba za Serikali uligubikwa na Rushwa
.
.
.
.
.
DO YOU THINK ALL THOSE ALLEGATIONS ARE CRAPS?
KWA MWANA CCM NA CUF ULIOMO HUMU JAMVINI:-
1. JE, UNAFIKIRI HAYO YOOTE NI UONGO NA UROPOKAJI?
2. KIPI MUHIMU KATIKA MAISHA YAKO; ITIKADI ZA CHAMA CHAKO AU UBORA WA MAISHA YAKO?
3. UNAFIKIRI INGEKUWA NI UONGO Dr. SLAA ANGEKUWA MTAANI ANAZUNGUKA HURU? KAMA UNAFIKIRI ANGEKUWA HURU MUULIZE MTIKIRA NA IDADI YA KESI ZINAZOMUANDAMA!!