The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,206
- 17,359
Mkuu, kama unajali alichopigania Dr. Slaa stand up and do something about it...
Nashangaa leo na wewe unajali alichokipigania Slaa. Hivi umegundua lini....!!?
Mkuu, kama unajali alichopigania Dr. Slaa stand up and do something about it...
Dr. Slaa ameingia rasmi kwenye kundi la watu jobless nchini.
Wakati Mbowe alipowatangazia wajumbe wa baraza kuu la Chadema kuwa Dr. Slaa anaachwa na mawimbi na muda kuna jambo hakulisema kwa ukamilifu.
Katika muda huu ambao Slaa hatashiriki shughuli za chama, hatalipwa mshahara wala posho. Hali hii inamfanya Slaa moja kwa moja kukidhi vigezo vya kuitwa jobless.
Kwa vile Josephine ni mwanamke mpambanaji, anaendelea "kusimamia show" nyumbani katika kipindi hiki ambacho mzee hana kipato.
Ingefaa sana jamii ya watu wanaothamini mchango wa Dr. Slaa wasimame kwa pamoja kumuonyesha kumjali. Kuna njia mbalimbali za kufanya hivyo ikiwa ni pamoja na kuchanga sadaka na kumpelekea.
Mpaka sasa alichopigania Slaa ndani ya CHADEMA kimekuwa defeated na matukio ya hivi karibuni yanadhihirisha kuwa Slaa amekubali matokeo. Hata hivyo, jamii ikimpa nguvu anaweza kupata mawazo na mbinu mpya za kusimamia anachoamini. Kwahiyo ni jambo muhimu kwa jamii inayoamini uwezo wa Dr. Slaa kuchukua hatua za haraka kumuonyesha imani yao kwake.
Wako wapi watanzania wanaosimamia haki na usawa?
Ni wazi kuwa Slaa anadhulumiwa, je mmeungana na waliomtosa Slaa?
Kinachomtokea Slaa sasa hivi kinaweza kuwa fundisho kwa wazee wanaofanya kazi zisizo na pension. Jinsi jamii itakavyolichukua jambo hili pia ni fundisho kwa wengine.
Mkuu, kama unajali alichopigania Dr. Slaa stand up and do something about it...
Mkuu mimi ni msafi kisiasa sina shaka kabisa. Hata hongo la traffic silipi, nalipa kodi zangu zote. Kisiasa tunachoangalia ni je unafuata sheria na utaratibu wa nchi. Mi sijajilimbikizia mali na ardhi.
Usitake kututukana watanzania eti hakuna msafi. Kwa hiyo unataka kusema watanzania wote ni wezi, mafisadi na wanadhulumu? Basi hakuna haja kuing'oa CCM kwa mantiki hiyo!
Hii si hoja! Wenye akili tunajua mnataka ku-dilute tu morality and values na hamtafanikiwa kamwe!
hivi wewe hujakoma tu? Mzee wa watu alitoka shimoni kuja kukusuta.Mda sio mrefu nyinyiemu mtaduwazwa kwa umbea wenu dhidi ya Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa,
Poleni sana, ipiganieni sana ccm kuliko kulala mlango wazi!
nakuunga mkono watafutwe watu wenye majina na waaminifu wachangishe fedha hizo na kupitia media watutangazie namna ya kuchangia fedha hizo
i wish you all the best Dr Slaa
Samahani labda hukumuelewa vizuri aliposema hakuna alie msafi,mkuu kwani unataka kusema hukuwahi kufanya makosa kabisa kama kudhulumu kwa namna yeyote ile kwa level yako?.
Ukisema wewe ni msafi kisiasa unamaanisha kitu gani ?.
naipenda jamii forum sana wazo la kuchangiwa pia ni muhimu ndugu yangu chama now hakina katibu mkuu kwa sasa na mbowe kasimamisha mishahara yote:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Mkuu ZeMarcopolo, mbona unataka kuniangusha kwenye hii thread? Unafahamu kabisa kwa nini Dr. Slaa kapumzika. Dr. kakataa kuuzwa kwa EL na hii biashara aliianza mbowe 2011. Unataka kutuaminisha kuwa Dr hana akiba? Yaani toka ubunge hadi ukatibu mkuu wa cdm alikuwa anapata mshahara kama mwalimu wa primary ambao haumalizi mwezi? Au una maana gani mkuu labda sijakuelewa.Dr. Slaa ameingia rasmi kwenye kundi la watu jobless nchini.
Wakati Mbowe alipowatangazia wajumbe wa baraza kuu la Chadema kuwa Dr. Slaa anaachwa na mawimbi na muda kuna jambo hakulisema kwa ukamilifu.
Katika muda huu ambao Slaa hatashiriki shughuli za chama, hatalipwa mshahara wala posho. Hali hii inamfanya Slaa moja kwa moja kukidhi vigezo vya kuitwa jobless.
Kwa vile Josephine ni mwanamke mpambanaji, anaendelea "kusimamia show" nyumbani katika kipindi hiki ambacho mzee hana kipato.
Ingefaa sana jamii ya watu wanaothamini mchango wa Dr. Slaa wasimame kwa pamoja kumuonyesha kumjali. Kuna njia mbalimbali za kufanya hivyo ikiwa ni pamoja na kuchanga sadaka na kumpelekea.
Mpaka sasa alichopigania Slaa ndani ya CHADEMA kimekuwa defeated na matukio ya hivi karibuni yanadhihirisha kuwa Slaa amekubali matokeo. Hata hivyo, jamii ikimpa nguvu anaweza kupata mawazo na mbinu mpya za kusimamia anachoamini. Kwahiyo ni jambo muhimu kwa jamii inayoamini uwezo wa Dr. Slaa kuchukua hatua za haraka kumuonyesha imani yao kwake.
Wako wapi watanzania wanaosimamia haki na usawa?
Ni wazi kuwa Slaa anadhulumiwa, je mmeungana na waliomtosa Slaa?
Kinachomtokea Slaa sasa hivi kinaweza kuwa fundisho kwa wazee wanaofanya kazi zisizo na pension. Jinsi jamii itakavyolichukua jambo hili pia ni fundisho kwa wengine.
Kwasasa lengo ni kumng'oa mkoloni, hata Chenge akija tutampokea, hayo mengine baadae.So mnakiri kuwa mnajua si msafi mnachohitaji ni evidence tu?
So niulize ili uinge ktk rekodi ya JF: ushahidi ukipatikana utaacha kumsapoti?
Mkuu ZeMarcopolo, mbona unataka kuniangusha kwenye hii thread? Unafahamu kabisa kwa nini Dr. Slaa kapumzika. Dr. kakataa kuuzwa kwa EL na hii biashara aliianza mbowe 2011. Unataka kutuaminisha kuwa Dr hana akiba? Yaani toka ubunge hadi ukatibu mkuu wa cdm alikuwa anapata mshahara kama mwalimu wa primary ambao haumalizi mwezi? Au una maana gani mkuu labda sijakuelewa.
Unaonekana hujaelewa lengo la thread hii. Hatujadili matukio, lengo ni kuhamasisha watu wanaoamini kwenye uwezo wa Dr. Slaa kumpa nguvu ya kunyanyuka. Anyanyuke kwenda wapi? hilo litajibiwa na maarifa na ujuzi wake.
Slaa is defeated. Ameshakubali defeat. Hata hivyo lazima tujiulize, je waliomuunga mkono nao wamekubali defeat? Kama hawajakubali basi waonyeshe kwa vitendo kwa kumnyanyua Slaa aliyeangushwa.