Dr. Slaa is officially jobless

Dr. Slaa is officially jobless

CCM nashangaa leo ndo mnamthamini Dr slaa, mnamtungia thread lukuki, wakati mlikuwa mnamkashifu eti kale kababu. Mwacheni mzee wa watu
 
Dr. Slaa ameingia rasmi kwenye kundi la watu jobless nchini.

Wakati Mbowe alipowatangazia wajumbe wa baraza kuu la Chadema kuwa Dr. Slaa anaachwa na mawimbi na muda kuna jambo hakulisema kwa ukamilifu.

Katika muda huu ambao Slaa hatashiriki shughuli za chama, hatalipwa mshahara wala posho. Hali hii inamfanya Slaa moja kwa moja kukidhi vigezo vya kuitwa jobless.

Kwa vile Josephine ni mwanamke mpambanaji, anaendelea "kusimamia show" nyumbani katika kipindi hiki ambacho mzee hana kipato.

Ingefaa sana jamii ya watu wanaothamini mchango wa Dr. Slaa wasimame kwa pamoja kumuonyesha kumjali. Kuna njia mbalimbali za kufanya hivyo ikiwa ni pamoja na kuchanga sadaka na kumpelekea.

Mpaka sasa alichopigania Slaa ndani ya CHADEMA kimekuwa defeated na matukio ya hivi karibuni yanadhihirisha kuwa Slaa amekubali matokeo. Hata hivyo, jamii ikimpa nguvu anaweza kupata mawazo na mbinu mpya za kusimamia anachoamini. Kwahiyo ni jambo muhimu kwa jamii inayoamini uwezo wa Dr. Slaa kuchukua hatua za haraka kumuonyesha imani yao kwake.

Wako wapi watanzania wanaosimamia haki na usawa?
Ni wazi kuwa Slaa anadhulumiwa, je mmeungana na waliomtosa Slaa?

Kinachomtokea Slaa sasa hivi kinaweza kuwa fundisho kwa wazee wanaofanya kazi zisizo na pension. Jinsi jamii itakavyolichukua jambo hili pia ni fundisho kwa wengine.

nakuunga mkono watafutwe watu wenye majina na waaminifu wachangishe fedha hizo na kupitia media watutangazie namna ya kuchangia fedha hizo
i wish you all the best Dr Slaa
 
Kama ni kweli huu utakuwa ni ukatili
lakini sitaki kuamini hapokei hata nusu ya mshahara toka cdm
 
Mkuu, kama unajali alichopigania Dr. Slaa stand up and do something about it...

Unajitahidi sana kupotosha ,kilichotokea kila mtu anajua na alishuhudia katika vyombo vya habari na wengine walikuwa eneo la tukio.Alichokiacha Mbowe ni kipi hakukisema ambacho wewe unakijua?
 
Have you seen his jobless?or your talking without thinking.
 
Mkuu mimi ni msafi kisiasa sina shaka kabisa. Hata hongo la traffic silipi, nalipa kodi zangu zote. Kisiasa tunachoangalia ni je unafuata sheria na utaratibu wa nchi. Mi sijajilimbikizia mali na ardhi.
Usitake kututukana watanzania eti hakuna msafi. Kwa hiyo unataka kusema watanzania wote ni wezi, mafisadi na wanadhulumu? Basi hakuna haja kuing'oa CCM kwa mantiki hiyo!
Hii si hoja! Wenye akili tunajua mnataka ku-dilute tu morality and values na hamtafanikiwa kamwe!


Samahani labda hukumuelewa vizuri aliposema hakuna alie msafi,mkuu kwani unataka kusema hukuwahi kufanya makosa kabisa kama kudhulumu kwa namna yeyote ile kwa level yako?.

Ukisema wewe ni msafi kisiasa unamaanisha kitu gani ?.
 
Mda sio mrefu nyinyiemu mtaduwazwa kwa umbea wenu dhidi ya Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa,

Poleni sana, ipiganieni sana ccm kuliko kulala mlango wazi!
hivi wewe hujakoma tu? Mzee wa watu alitoka shimoni kuja kukusuta.
 
nakuunga mkono watafutwe watu wenye majina na waaminifu wachangishe fedha hizo na kupitia media watutangazie namna ya kuchangia fedha hizo
i wish you all the best Dr Slaa

Wazo zuri.

Naamini Mohammedi Mtoi angeifanya hii kazi kwa ufanisi ila yuko busy na ubunge.

Mkuu Mwita Maranya jaribu kuangalia hili...
 
Last edited by a moderator:
Samahani labda hukumuelewa vizuri aliposema hakuna alie msafi,mkuu kwani unataka kusema hukuwahi kufanya makosa kabisa kama kudhulumu kwa namna yeyote ile kwa level yako?.

Ukisema wewe ni msafi kisiasa unamaanisha kitu gani ?.

Mkuu, usitoke nje ya mada. Kuna haja ya kuangalia hali ya Dr. Slaa..
 
naipenda jamii forum sana wazo la kuchangiwa pia ni muhimu ndugu yangu chama now hakina katibu mkuu kwa sasa na mbowe kasimamisha mishahara yote:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:


Kwa hiyo !!!!.
 
Si tunasikia CCM mmempatia Tsh.billion 3 ili alete msukosuko ndani ya UKAWA lakini fedha yenu imeliwa na hakuna msukosuko kwani kapigwa stop, ninachosikia mnamtafuta mumdhuru kwa kula fedha zenu.
 
Khaa!! Na mimi pia officially kura YANGU niliyomuwekea Dr Slaa sasa ataipata Dr Magufuli
 
Hiyo huruma inatakiwa mahospitalini ambapo kina mama wana lala chini wakisubiri kujifungua.
 
Dr. Slaa ameingia rasmi kwenye kundi la watu jobless nchini.

Wakati Mbowe alipowatangazia wajumbe wa baraza kuu la Chadema kuwa Dr. Slaa anaachwa na mawimbi na muda kuna jambo hakulisema kwa ukamilifu.

Katika muda huu ambao Slaa hatashiriki shughuli za chama, hatalipwa mshahara wala posho. Hali hii inamfanya Slaa moja kwa moja kukidhi vigezo vya kuitwa jobless.

Kwa vile Josephine ni mwanamke mpambanaji, anaendelea "kusimamia show" nyumbani katika kipindi hiki ambacho mzee hana kipato.

Ingefaa sana jamii ya watu wanaothamini mchango wa Dr. Slaa wasimame kwa pamoja kumuonyesha kumjali. Kuna njia mbalimbali za kufanya hivyo ikiwa ni pamoja na kuchanga sadaka na kumpelekea.

Mpaka sasa alichopigania Slaa ndani ya CHADEMA kimekuwa defeated na matukio ya hivi karibuni yanadhihirisha kuwa Slaa amekubali matokeo. Hata hivyo, jamii ikimpa nguvu anaweza kupata mawazo na mbinu mpya za kusimamia anachoamini. Kwahiyo ni jambo muhimu kwa jamii inayoamini uwezo wa Dr. Slaa kuchukua hatua za haraka kumuonyesha imani yao kwake.

Wako wapi watanzania wanaosimamia haki na usawa?
Ni wazi kuwa Slaa anadhulumiwa, je mmeungana na waliomtosa Slaa?

Kinachomtokea Slaa sasa hivi kinaweza kuwa fundisho kwa wazee wanaofanya kazi zisizo na pension. Jinsi jamii itakavyolichukua jambo hili pia ni fundisho kwa wengine.
Mkuu ZeMarcopolo, mbona unataka kuniangusha kwenye hii thread? Unafahamu kabisa kwa nini Dr. Slaa kapumzika. Dr. kakataa kuuzwa kwa EL na hii biashara aliianza mbowe 2011. Unataka kutuaminisha kuwa Dr hana akiba? Yaani toka ubunge hadi ukatibu mkuu wa cdm alikuwa anapata mshahara kama mwalimu wa primary ambao haumalizi mwezi? Au una maana gani mkuu labda sijakuelewa.
 
So mnakiri kuwa mnajua si msafi mnachohitaji ni evidence tu?
So niulize ili uinge ktk rekodi ya JF: ushahidi ukipatikana utaacha kumsapoti?
Kwasasa lengo ni kumng'oa mkoloni, hata Chenge akija tutampokea, hayo mengine baadae.
 
Mkuu ZeMarcopolo, mbona unataka kuniangusha kwenye hii thread? Unafahamu kabisa kwa nini Dr. Slaa kapumzika. Dr. kakataa kuuzwa kwa EL na hii biashara aliianza mbowe 2011. Unataka kutuaminisha kuwa Dr hana akiba? Yaani toka ubunge hadi ukatibu mkuu wa cdm alikuwa anapata mshahara kama mwalimu wa primary ambao haumalizi mwezi? Au una maana gani mkuu labda sijakuelewa.

Mkuu, hili jambo limetokea ghafla mno. Slaa hajajiandaa..
 
Unaonekana hujaelewa lengo la thread hii. Hatujadili matukio, lengo ni kuhamasisha watu wanaoamini kwenye uwezo wa Dr. Slaa kumpa nguvu ya kunyanyuka. Anyanyuke kwenda wapi? hilo litajibiwa na maarifa na ujuzi wake.

Slaa is defeated. Ameshakubali defeat. Hata hivyo lazima tujiulize, je waliomuunga mkono nao wamekubali defeat? Kama hawajakubali basi waonyeshe kwa vitendo kwa kumnyanyua Slaa aliyeangushwa.

Accept defeat but make sure you don't quit...
 
Back
Top Bottom