Mkuu, ni kweli kuwa amekijenga chama. Ila ni muhimu kujiuliza, je alikijenga chama ili mwenyekiti akiuze kwa mroho wa madaraka? Je, apumzike kwa vile amechoka au kwa vile ameachwa na muda na mawimbi?
Una FACTS na EVIDENCE kama kimeuzwa???If not
KEEP QUITE
Kama uroho wa madaraka,mbona hamuachi kugombea nafasi hizo mkaziacha ili UPINZANI uzichukue???KAma hamuwezi kuacha kugombea nafasi za uongozi basi hata nyie ni WAROHO wa MADARAKA over 50years mmetawala Tanzania,Nchi ni afadhali wakati wa MJERUMANI leo mnakuja kutuambia nini?
Acheni hizo hakuna mwanasiasa asiyetaka kutawala.Ila Acheni propoganda zenu chafu,na pia mwambieni mwenyekiti wenu a-mind lugha zake zina ukakasi.
Huyo Magufuli tunajua UCHAFU wake kuliko mnavyofikiri.
Muuzaji wa nyumba za Serikali na nyingine kahonga mahawara.
Mnunuaji wa Meli ya mwaka 1978 kwa bilioni 8,wakati Azam kanunua meli ya mwaka 2015 yenye Capacity kubwa kuliko ya huyo Makomeo wenu mnayemuita msafi kwa bilioni 6 tu.
Mlipaji wa wakandarasi hewa bilioni 258,zilienda wapi??? atueleze nani alilipa na nani aliruhusu zilipwe.
Huyu ambaye barabara zake zote ziko chini ya kiwango,mvua moja tu barabara zote mpya hazipitiki!!!!!!!!!!!!Shame on you CCM pamoja na Magufuli wenu.
Msitufanye watanzania wajinga.Kajidanganyeni nyie huko.
Watoto wa watu wazito ndiyo mnaopewa vyeo na Ubunge,hebu check,Mtoto wa Bulembo,Tarishi,Masaburi,Makamba,Kikwete...Mko busy kuwanyooshea upinzani safisheni choo chenu kwanza ndiyo muangalie choo cha wapinzani.