Dr. Slaa is officially jobless

Dr. Slaa is officially jobless

Susuviri Tukiangalia msafi ndio agombee basi kwa Tanzania Hakuna aliye msafi hata wewe sio msafi.

Mkuu mimi ni msafi kisiasa sina shaka kabisa. Hata hongo la traffic silipi, nalipa kodi zangu zote. Kisiasa tunachoangalia ni je unafuata sheria na utaratibu wa nchi. Mi sijajilimbikizia mali na ardhi.
Usitake kututukana watanzania eti hakuna msafi. Kwa hiyo unataka kusema watanzania wote ni wezi, mafisadi na wanadhulumu? Basi hakuna haja kuing'oa CCM kwa mantiki hiyo!
Hii si hoja! Wenye akili tunajua mnataka ku-dilute tu morality and values na hamtafanikiwa kamwe!
 
Last edited by a moderator:
Hamna huruma wala nn, Ulisikia huwa hajiwekei akiba kwa miaka yote ya ubunge na ukatibu??

Mnachotaka ni kuanza movement ili kuvuruga umoja ndani ya ukawa na chadema kwa manufaa yenu, lakini kamwe hamtofanikiwa.

Wapenda mabadiliko wenzangu tuwapuuze hawa mamluki wanaojidai wema ili watuvuruge kwa manufaa ya CCM.
 
Aliyekwambia secretary general wa CHADEMA ni ombaomba nani wewe?

Sometimes mnajitia aibu na thread zenu za ajabu kama hii.

Eti achangiwe!!
Eti ni jobless!!
Fanya yako achana na Katibu wetu.

Sijajua yale makapu kwenye mikutano yenu alikuwa anachangiwa nani.. ? Au kwa sababu lowasa the money team yupo kwenu saivi?
 
Dr. Slaa kakosa mwana na maji ya moto. anacho takiwa kufanya kwa sasa arudi nyumbani akaimarishe familia yake. Mungu kasababisha hayo kwake kwa malengo maalum kwani tangu aache ukasisi wa kanisa katoliki hajapata muda wa kutulia na kujenga ndoa yake. alipokee hilo kwa mtazamo chanya na aendelee na shughli zake za kawaida siasa imemshinda.
 
Mkuu, sidhani kama binadamu mwenye moyo anaweza kuacha kuguswa na kinachomsibu Dr. Slaa. Kama tulivyomhurumia Zitto hatuwezi kuacha kumhurumia Slaa. Lakini huruma pekeyake haitoshi, something more than just huruma needs to be done...
ZeMarcopolo kwa nini tusionee huruma tembo wetu ambao viongozi wa juu wa nchi na Chama chetu wanajua wanaohujumu maliasili hii mathalani juzi uwanja wa ndege dakika 10 mapembe yamepitishwa kwa rushwa ambayo na hakika ni ndogo mnoo kulinganisha na faida yake. Waache CDM na Dr. Slaa wao hebu tushughulikie haya kabla hatujamtetea mgombea wetu hali ni ngumuu ujue
 
kwakua dr slaa ni mwanachama mwenzetu humu,napendekeza tupitishe kamchango,angalau apate pesa kidogo ya kujikimu wakati akijisort out...

mchango tunapeleka kwa misschagga
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi ni msafi kisiasa sina shaka kabisa. Hata hongo la traffic silipi, nalipa kodi zangu zote. Kisiasa tunachoangalia ni je unafuata sheria na utaratibu wa nchi. Mi sijajilimbikizia mali na ardhi.
Usitake kututukana watanzania eti hakuna msafi. Kwa hiyo unataka kusema watanzania wote ni wezi, mafisadi na wanadhulumu? Basi hakuna haja kuing'oa CCM kwa mantiki hiyo!
Hii si hoja! Wenye akili tunajua mnataka ku-dilute tu morality and values na hamtafanikiwa kamwe!
Watu wanataka ku justify ufisadi kwa kusema eti Watanzania wote ni mafisadi! Kuna watanzania safi tena wengi tu.
 
Kama unamjali mtafute, Kila mwanaume anayefanya maamuzi anatakiwa awajibike kwa maamuzi yake!
 
dr. Slaa ameingia rasmi kwenye kundi la watu jobless nchini.

Wakati mbowe alipowatangazia wajumbe wa baraza kuu la chadema kuwa dr. Slaa anaachwa na mawimbi na muda kuna jambo hakulisema kwa ukamilifu.

Katika muda huu ambao slaa hatashiriki shughuli za chama, hatalipwa mshahara wala posho. Hali hii inamfanya slaa moja kwa moja kukidhi vigezo vya kuitwa jobless.

Kwa vile josephine ni mwanamke mpambanaji, anaendelea "kusimamia show" nyumbani katika kipindi hiki ambacho mzee hana kipato.

Ingefaa sana jamii ya watu wanaothamini mchango wa dr. Slaa wasimame kwa pamoja kumuonyesha kumjali. Kuna njia mbalimbali za kufanya hivyo ikiwa ni pamoja na kuchanga sadaka na kumpelekea.

Mpaka sasa alichopigania slaa ndani ya chadema kimekuwa defeated na matukio ya hivi karibuni yanadhihirisha kuwa slaa amekubali matokeo. Hata hivyo, jamii ikimpa nguvu anaweza kupata mawazo na mbinu mpya za kusimamia anachoamini. Kwahiyo ni jambo muhimu kwa jamii inayoamini uwezo wa dr. Slaa kuchukua hatua za haraka kumuonyesha imani yao kwake.

Wako wapi watanzania wanaosimamia haki na usawa?
Ni wazi kuwa slaa anadhulumiwa, je mmeungana na waliomtosa slaa?

Kinachomtokea slaa sasa hivi kinaweza kuwa fundisho kwa wazee wanaofanya kazi zisizo na pension. Jinsi jamii itakavyolichukua jambo hili pia ni fundisho kwa wengine.
kidole kwa mwenzio cha nini wakati kwetu tume wa dhihaki na kuwatenda kina mzee nassoro moyo na kingunge..!
 
Kinachomtokea Slaa sasa hivi kinaweza kuwa fundisho kwa wazee wanaofanya kazi zisizo na pension. Jinsi jamii itakavyolichukua jambo hili pia ni fundisho kwa wengine.

Weee acha hizo.. Mwanaume ana vibilioni keshajaziwa.. Uliza ujibiwe.. Anakula bataz mwezio nowadays..Unacheza na CCM-SYASTEM.
 
dr slaa amefadhaishwa though alimkubali lowassa aingie ndani ya chama kama mwanachama wa kawaida na si kiongozi leo slaa hawezi kumnadi lowassa hata kidogo kutokana na imani yetu tuliosoma theology maisha yanabadilika lakini Akili ya mwanadamu na alfa na omega ya maisha hayo vipi leo DR aliyefaulu theolojia kwa kiwango cha juu imani yake iamini juu ya lowassa ni msafi sio kwamba hamjui anamfahamu mwanzo mwisho tangu alipokuwa katibu wa chama Roma italia
 
Dr. Slaa kakosa mwana na maji ya moto. anacho takiwa kufanya kwa sasa arudi nyumbani akaimarishe familia yake. Mungu kasababisha hayo kwake kwa malengo maalum kwani tangu aache ukasisi wa kanisa katoliki hajapata muda wa kutulia na kujenga ndoa yake. alipokee hilo kwa mtazamo chanya na aendelee na shughli zake za kawaida siasa imemshinda.

mungu yupi anayependa watu waumie na waonewe mahali palipo na uasi mungu huondoa mikono yake
 
Hakuna mahali aliposema Dr.Slaa amenyang'anywa kazi yake.Pole kama unategemea CDM kuwa kama UVCCM kumnyang'anya Mzee Kingunge nafasi zake zote na bado mmemfungia ndani AIBU kwa chama kikubwa kama CCM.

Mmlitamani sana Dr.Slaa awaungeni mkono imeshindikana kwa hiyo mmekuja na hizi swagga.

Mwacheni Mzee wa watu apumzike.Tena mtuachie kabisa Mzee wetu apumzike ameijenga CDM mpaka leo tunafaidi matunda ya kazi yake.
 
Hakuna mahali aliposema Dr.Slaa amenyang'anywa kazi yake.Pole kama unategemea CDM kuwa kama UVCCM kumnyang'anya Mzee Kingunge nafasi zake zote na bado mmemfungia ndani AIBU kwa chama kikubwa kama CCM.

Mmlitamani sana Dr.Slaa awaungeni mkono imeshindikana kwa hiyo mmekuja na hizi swagga.Mwacheni Mzee wa watu apumzike.Tena mtuachie kabisa Mzee wetu apumzike ameijenga CDM mpaka leo tunafaidi matunda ya kazi yake.

ni heshima kwa mungu kumzomea fisadi kama lowassa by Godbless lemah
 
Dr. Slaa ameingia rasmi kwenye kundi la watu jobless nchini.

Wakati Mbowe alipowatangazia wajumbe wa baraza kuu la Chadema kuwa Dr. Slaa anaachwa na mawimbi na muda kuna jambo hakulisema kwa ukamilifu.

Katika muda huu ambao Slaa hatashiriki shughuli za chama, hatalipwa mshahara wala posho. Hali hii inamfanya Slaa moja kwa moja kukidhi vigezo vya kuitwa jobless.

Kwa vile Josephine ni mwanamke mpambanaji, anaendelea "kusimamia show" nyumbani katika kipindi hiki ambacho mzee hana kipato.

Ingefaa sana jamii ya watu wanaothamini mchango wa Dr. Slaa wasimame kwa pamoja kumuonyesha kumjali. Kuna njia mbalimbali za kufanya hivyo ikiwa ni pamoja na kuchanga sadaka na kumpelekea.

Mpaka sasa alichopigania Slaa ndani ya CHADEMA kimekuwa defeated na matukio ya hivi karibuni yanadhihirisha kuwa Slaa amekubali matokeo. Hata hivyo, jamii ikimpa nguvu anaweza kupata mawazo na mbinu mpya za kusimamia anachoamini. Kwahiyo ni jambo muhimu kwa jamii inayoamini uwezo wa Dr. Slaa kuchukua hatua za haraka kumuonyesha imani yao kwake.

Wako wapi watanzania wanaosimamia haki na usawa?
Ni wazi kuwa Slaa anadhulumiwa, je mmeungana na waliomtosa Slaa?

Kinachomtokea Slaa sasa hivi kinaweza kuwa fundisho kwa wazee wanaofanya kazi zisizo na pension. Jinsi jamii itakavyolichukua jambo hili pia ni fundisho kwa wengine.

Taarifa hii ya mwaka 2013 hatimaye imetimia...

Mkuu, kama unajali alichopigania Dr. Slaa stand up and do something about it...

Vipi mbona hujaonekana kwenye ile mada ya picha za mikutano mitano ya Lowasa/UKAWA ni za kuchora?
Au nawe ni mmoja wa wale wazee,waliokuwepo pale ukumbini jana?
 
Mkuu, kama unajali alichopigania Dr. Slaa stand up and do something about it...
Sikiliza Dr mzaramo, kama wewe unajali, umefanya nini?

Typical fisiemu, showing remose and do nothing... Slaa is a smart politician

Mpelekee mkeo amsaidie maana keshazoea kusaidia wengi... Wallahi slaa ataenjoy
 
Back
Top Bottom