Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Nazidi kuamini kuwa ccm wako wehu na ama ukiwa mpenzi wa ccm una mapungufu kichwani.
Mungu ampe afya njema dr.slaa kwa kazi anayofanya kwa ajili ya taifa lake.
kuna jamaa mmoja aliwaambia ccm ili wamekeketwa mpaka kwenye ubongo..