Dr. Slaa hatimaye aibuka

Dr. Slaa hatimaye aibuka

Apumzike tu huyo mzee, hiyo ndiyo demokrasia hata akiamua kuzungumza kwa sasa hakuna impact yoyote...na ameona Lipumba jinsi alivyopuuzwa...

Tatizo mnaongea tu kwa sababu mnafikiria immediate impact kwa sa'bu watu wamestick zaidi kwenye uchaguzi na kusahau taratibu nyingine za kichama
 
ukiona wewe nikiongozi na mkakaa kwenye kikao ,tusema mpovingozi kumi halafu wewe ukatotofautiana nao na ukawashauri lakini hojayako inapingwa na wengi. kinachofuata niwewe unatakiwa ukubaliana nahoja ya wengi na busara ianasema haupaswi kuwanje ya kile kikao halafu ukaanza kusema mimi sikuafikinao huo ni usaliti

ona sasa nishida sana kumwelewa je nikwasababu kanyimwa nafasi yakugombea ? ama nikwasababu alishamtukana Lowasa ,lakini hatakama nikutukana mboana hata cuf walitukanwa na chadema na kuitwa CCMB?

YEYE kwani nimungu ndo usema hafanyi makosa?

DR nenda kapige kazi
 
CHANZO: NIPASHE


Mytake: Kauli hizi za Dr. Slaa zinazidi kuonesha namna gani baadhi ya viongozi na wasemaji wa CHADEMA wanavyojribu kuwahadaa Watanzania kuhusu Sakata la Mwanasiasa huyu tegemeo kabisa katika CHADEMA. Sote tunaothamini mchango wa Dr. Katika kukijenga chama hatuna budi sasa tuachane na habari za hawa watu na tusubiri kauli ya Dr. Slaa mwenyewe.

Kauli ya Dr. Slaa imekuja wakati tayari zilishatolewa taarifa mbalimbali na viongozi na wasemaji wa Chadema kuhusiana na sakata hili, taarifa ambazo kwa kauli hii ya Slaa ni wazi zilikuwa ni za kuwahadaa watanzania. Kauli hizo ni pamoja na:

1. Dr. Slaa ameamua kupmzika, akiwa tayari atajiunga nasi-FREEMAN MBOWE

2. Dr. Slaa kukutana na Secretarieti ili kupanga mikakati ya ushindi ya UKAWA-YERIKO NYERERE

3. DR. SLAA atazindua Kampeni za UKAWA-JOHN MNYIKA n.k

Teh teh utakuja shtuka mafuriko yako utosini mwako shauriyako baelezee wana ukawa na team Edo why wamchague Mapadlock! ukifuatilia ya wenzako yatalala ya kwako! EL ni kama madawa ya kulevya watz wengi washakuwa mateja hawataacha kumuunga mkono huyo jamaaa!
 
Dr w slaa ni mbinafsi sana,hana shukrani,hana upendo kwa watanzania anajifikiria yeye na josefina tu.Anajiona yeye ni mkubwa kuliko chadema,kama kujitolea kukijenga chama,hivi wale walipoteza maisha yao kwa ajili ya chadema leo huko makaburini wanapoiona hali hii na dalili za uhuru wa kweli wa pili wa kiuchumi watasemaje?nao watasusa?je hao na slaa nani zaidi?wale waliotoa mamilioni ya pesa zao kwa ajili ya kuijenga chadema?leo chadema ni kubwa na inapata ruzuku lakini imetoka mbali sana kuna wakati mf mzee ndesamburo alikuwa anatoa pesa zake kwa ajili ya chama,naye mchango wake tuusemeje?wapo wengi sana walifanya makubwa kuiweka chadema katika ramani ya siasa za tanzania kama chama kikubwa cha upinzani,hao niliotaja ni mfano tu,kabla ya slaa ajajiunga na chadema.Dr slaa yeye ni katibu anayelipwa mshahara mkubwa sawa na mbunge...ni katibu aliye jikopesha ruzuku ya chama, ni katibu aliyempa mchumba wake cheo makao makuu ya chama,hajawai kuisaidia chadema zaidi ya chadema kumsaidia.Kwa kweli slaa ni mbinafsi sana hakuwa na nia ya kuiona chadema ikienda ikulu zaidi alikuwa na nia kuona slaa anaenda ikulu
 
Jamaa anajua 'kucheza' na CCM waongeze dau...


nyie wwatoto heshima kwa viongozi wenu ziro kabisa..., mwezi uliopita tu aliitwa jembe,,leo hii anatukanwa na kudhalilishwa hivi..,kisa mnakusanya timu ya mafisadi walioshinwa CCM? sasa tofauti yenu na CCM iko wapi?

shameful
 
Nilishawaambia lakini hamtaki kuelewa

Dr Slaa hana Mpango wa kurejea CHADEMA

Kafulila alienda kuongea nae kumwomba ajiunge ACT na agombee Uraisi huko

Kafulila atajiunga na ACT hivi karibuni

Dr hajakubaliana bado na ACT...Ila maongezi yako kwenye hatua nzuri

Pia Its Confirmed Kuwa Lipumba atajiunga na ACT.
 
Siasa za Tanzania zimemtenda vibaya sana Dr. Slaa. Apumzike tu na aachane na siasa kapigwa bao dk ya 90
Waliopigwa bao ni wanachadema, si Dr Slaa. Yameandikwa mengi humu kumkejeli, wengine wakiomba arudi kuungana nao, Umemsikia akisema lolote?
 
mzee anahekima zake na swal la kuahamia ccm hilo wasahau..............hawezi rudia matpishiii:dance::dance:
 
Rais - lowassa
Waziri mkuu - Mbowe
Waziri wa fedha- Anthony Komu
Waziri wa afya - Gidbles Lema
Waziri wa nishati - Henry Kilewo
Waziri wa miundombinu - nassari
Waziri wa ofisi ya rais (tamisemi) Ole medeye
Waziri wa sheria na katiba - halima mdee
Waziri wa ardhi - John mrema
Waziri wa ujenzi - James Mbatia
Jamani tunauza nchi mchana kweupee.... Ikulu sio
kilabu cha mbege!
 
Rais - lowassa
Waziri mkuu - Mbowe
Waziri wa fedha- Anthony Komu
Waziri wa afya - Gidbles Lema
Waziri wa nishati - Henry Kilewo
Waziri wa miundombinu - nassari
Waziri wa ofisi ya rais (tamisemi) Ole medeye
Waziri wa sheria na katiba - halima mdee
Waziri wa ardhi - John mrema
Waziri wa ujenzi - James Mbatia
Jamani tunauza nchi mchana kweupee.... Ikulu sio
kilabu cha mbege!

Polen wataalam wa vijineno kwani gharika linawapa shida kubwa sana
 
dr s. Anamaadili na anajitambua..... Kama 2010 mbowe na wabunge wa chadema walitoka bungeni wakidai dr silaa alishinda uchaguzi ila akaibiwa kuraa kwanini safariii hiii asiweze kushindaaa amaa walitudanganyaaa au deal la billion 10 ni la ukweli kwa kamanda wa angaa. Mzee wa mabisinessss

hata sasa atashinda lakini aibiwa tena. Lowasa anajua namna ya kuzuia kura zake zisiibiwe
 
Hahahaaaaaaa
jini.....jini..... Huyoooo mtuhumiwa wa richmonduli...kazi kweli wanaukawa na jini hilo
 
Mbona sasa hio safu haina utaifa????wote ni kanda ya mlimaa.......

rais - lowassa
waziri mkuu - mbowe
waziri wa fedha- anthony komu
waziri wa afya - gidbles lema
waziri wa nishati - henry kilewo
waziri wa miundombinu - nassari
waziri wa ofisi ya rais (tamisemi) ole medeye
waziri wa sheria na katiba - halima mdee
waziri wa ardhi - john mrema
waziri wa ujenzi - james mbatia
jamani tunauza nchi mchana kweupee.... Ikulu sio
kilabu cha mbege!
 
Back
Top Bottom