Aliwahi kukaririwa na vyombo vya habari hapa Tanzania(Tanzania daima) akisema kuwa Dowans inamilikiwa na JK. Leo hii akiwa Mwanza ktk mkutano wa hadhara baada ya maandamano amesikika akimtaja Al Adawi kuwa ni mmiliki wa Dowans.
Hakika, Dr Slaa si mkweli.
Hakika, Dr Slaa si mkweli.