Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
acha kusumbuka na hao jamaa waliotumwa kuja kuangalia upepomkuu usipotoshe, hukuwepo uwanjani. Kasema al adawi ni kivuli cha dowans kuwa hadaa watanzania-kwa nini unaacha kuwa mkweli "ndo maana waitwa maji taka"
waeleze kuwa wajiandae kuondoka watuachie nchi yetu