Dr.Slaa: Eid izidi kutuunganisha Watanzania

Dr.Slaa: Eid izidi kutuunganisha Watanzania

Status
Not open for further replies.
Niliwambia hawa wafuasi wa Chadema Waislam kwao hawana maana msome huyu kiongozi wa Chadema, katumwa na Chadema kuwatukana Waislam.
Nashukuru kunipa uongozi wa CDM. Unanifahamu? Au ile biashara ya unga ilikuvuruga akili? Kwa hiyo kila mtu anayepingana na utaahira wenu ni kiongozi wa CDM?
 
Nashukuru kunipa uongozi wa CDM. Unanifahamu? Au ile biashara ya unga ilikuvuruga akili? Kwa hiyo kila mtu anayepingana na utaahira wenu ni kiongozi wa CDM?
Wewe endelea kuwatukana Waislam kwa platform ya Chadema.
 
i real see baseless personal attacks hahaha naungana na dr. slaaa....eid mubarak watanzania wote kwa ujumla wenu
 
Niliwambia hawa wafuasi wa Chadema Waislam kwao hawana maana msome huyu kiongozi wa Chadema, katumwa na Chadema kuwatukana Waislam.
usikimbilie kwa umma wa mwenyezi mungu, kwa madhambi uliyoyasababisha mwenyewe,vumilia hatutakuunga mkono kamwe kwa hili!
 
Wewe endelea kuwatukana Waislam kwa platform ya Chadema.
Bangi zinakusumbua. Kama uislam umetukwanwa wahi basi ukachome kanisa... Sasa kama muhammad alioa mtoto wa miaka 6 tusiseme?
 
Hivi unaakili kweli wewe? hata ni Muislamu wewe? mtu anatoa maneno ya hovyo namna hiyo alafu unamquote, hauoni kama unasema swadakta.

I pity you.
..mkuu hao ni waislamu wakati wa mfungo tu, baada ya hapo kitokacho mdomoni kwao ni najisi tupu..
 
usikimbilie kwa umma wa mwenyezi mungu, kwa madhambi uliyoyasababisha mwenyewe,vumilia hatutakuunga mkono kamwe kwa hili!

hajajua kuwa muislam wa kweli kwa mujib mafundisho hawez kuumwa na nyoka ktk shimo moja mara mbili
 
Bangi zinakusumbua. Kama uislam umetukwanwa wahi basi ukachome kanisa... Sasa kama muhammad alioa mtoto wa miaka 6 tusiseme?

hapa muhamad kaingiaje? we twaghuut. na kufar unatakiwa umjib ritz kama ritz
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom