Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Mwanadiplomasia, Padre na mwanaharakati Dr. Slaa ameonyesha Nia yake kuzirejea siasa za chadema na kuachana na siasa za CCM.
Ikumbukwe kwamba Dr. Slaa pamoja na kuteuliwa kuwa balozi hajawahi kutangaza KUJIUNGA NA chama cha mapinduzi Bali aliwahi kutangaza kuachana na siasa.
Pamoja na kuachana na siasa lakini maoni na mapendekezo yake kuhusu siasa za Tanzania yamerudi kuwa yaleyale ya mfumo wa chadema Jambo linalomtenga na watawala wa sasa.
Swali, je tutegemee siku moja kumwoma Dr. Slaa akiwa kwenye meza moja ya majadiliano kuhusu hatma ya Tanzania? Tutegemee Lisu na Dr. Slaa kukutana katika meza ya duara? Tutegemee Lisu kwenda nyumbani Kwa Dr au Dr kwenda kumsabahi Lisu atakaporejea?
Tumezoea vyama vikongwe Duniani vikijiwekea utaratibu wakuwatembelea waasisi na wale waliowahi kuhudumu chini Yao Kwa lengo la kudumisha UMOJA. Je Chadema ina program hiyo?
Endapo tunajadili maridhiano kwanini ndani ya wanachadema hatuoni wakiridhiana?
Ikumbukwe kwamba Dr. Slaa pamoja na kuteuliwa kuwa balozi hajawahi kutangaza KUJIUNGA NA chama cha mapinduzi Bali aliwahi kutangaza kuachana na siasa.
Pamoja na kuachana na siasa lakini maoni na mapendekezo yake kuhusu siasa za Tanzania yamerudi kuwa yaleyale ya mfumo wa chadema Jambo linalomtenga na watawala wa sasa.
Swali, je tutegemee siku moja kumwoma Dr. Slaa akiwa kwenye meza moja ya majadiliano kuhusu hatma ya Tanzania? Tutegemee Lisu na Dr. Slaa kukutana katika meza ya duara? Tutegemee Lisu kwenda nyumbani Kwa Dr au Dr kwenda kumsabahi Lisu atakaporejea?
Tumezoea vyama vikongwe Duniani vikijiwekea utaratibu wakuwatembelea waasisi na wale waliowahi kuhudumu chini Yao Kwa lengo la kudumisha UMOJA. Je Chadema ina program hiyo?
Endapo tunajadili maridhiano kwanini ndani ya wanachadema hatuoni wakiridhiana?