Dr. Slaa(Balozi): Siendi kutekeleza Sera ya CCM bali Sera ya Taifa. Aongelea sakata zima la Lowassa kuingizwa CHADEMA

No effect
Mkuu mbona umemkomalia sana Dk.Slaa amekufanya nini? au kosa lake ni kutumia haki yake ya kidemokrasia ambayo wengine pia wanaitumia including wewe. maana nimeona umemuanzishia mpka thread watu wasimuangalie ila wakamsome Mange Kimambi akimtukana sheikh wa watu. Angalia chuki zako zisije kukutawala mpaka zikaathiri upeo wako mkubwa wa kufikiri.
 
Dah huyu mzee si mchezo aisee!
Kiukweli kabisa mie niliachana na siasa za upinzani kwa namna uhuni viongozi wa chadema walivyotufanyia!
Uchaguzi mkuu 2015 ni uchaguzi wa kwanza kupigia kura ccm...wakati wa jk kamwe sijapata kufanya hivyo.
Niliuamini sana upinzani toka wakati huo wadogo tunamuona mrema akisukumwa kwenye gari.
Nakumbuka namna ambavyo dr slaa na zito walivyolichachafya kwa hoja bunge chini ya marehemu sita...umaarufu wa chadema ukazd kukua kwamba chadema ni chama chenye wajuzi wa kujenga hoja.
ila kuanzia 2015 na kuendelea, ni Mungu mwenyewe anajua!!!.
 
Ki uhalisia,hawa watu,type ya magufuri,siyo wa kuwapa nchi,maisha yataendelea kuwa magumu,wao wanajikita kwenye economic growth badala ya economic development. mwanzoni niliona category ya watu hawa ni wazuri,ila nimegundua ni hatari kwa maisha ya raia mnyonge,refer mpango wa VAT,,miamala imepanda sana,saiv ili utoe elf 10, unatakiwa uwe na 11500, maana yake ni zaidi ya kodi ya kichwa,,siwatamani type ya viongozi kama hawa

Maisha yalikuwa magumu kwa mamilioni ya Watanzania. Maisha yalikuwa rahisi kwa watu kama nyinyi wapiga dili. Majumba hayo yote unayoyaona ya wakina LUGUMI. MBOWE, LUWASSA CHENGE NA WENGINE WALIOKUWA SERIKALINI yamejengwa kwa dili. Tukiwaambia hawa watu Waweke wazi mahesabu ya mapato yao, pesa walipata wapi. Utakuta majumba na maisha yao yalikuwa yakiendeshwa na pesa za walipa kodi masikini. Mishahara ya Tanzania serikalini inajulikana, Na kama ni biashara basi zitaenda samba mba na kodi walizolipa. Maisha yalikuwa rahisi kwa wezi, kuvuna bila ya kulima. Fanya kazi usinununike vya bure viliondoka na `Kikwete.
 
Leo tarehe 06/02/2018, Dr. Wilbroad Slaa anaongea na Clous Tv, hakika namwelewa sana huyu mzee.

Kuna kitu kimoja amesema huyu mzee kuwa aliwahi sema kuwa aliamua kuacha siasa za vyama vingi ambazo ni siasa za uvuguvugu. Hivyo yeye hajawahi tangaza kuacha siasa.

Anakili kuwa yeye kwake siasa ni maisha hivyo kumwambia ameacha siasa ni sawa na kusema aachane na maisha. Kimsingi anadai kuwa siasa ni maji, siasa ni elimu, siasa ni chakula, siasa ni biashara na kila kitu unachofanya.

Kwa kauli yake ya kuwa ANAACHANA NA SIASA ZA VYAMA VINGI (opposition parties) kwangu naichukulia hii kauli kama ni kauli ya kuomba CCM, wapime kwa namna yeyote kama anafaa kuwa mtu mhimu kuongoza chama na nchi kwa huko mbeleni.

Kusema kweli upo uwezekano kama yeye binafsi atapenda kujijenga katika CCM, msije shangaa siku moja akawa rais wa jamhuri kupitia CCM.

Hii ndoto yangu ipo wenda ikaja timia na kila mtu atabaki mdomo wazi.

Wenye mtazamo wenu, naomba mawazo yenu.


Umri siyo Rafiki! Amshukuru Mungu atapata hata pension ya kumalizia maisha yake hapa duniani kupitia huo ubalozi.
 
usipo msikiliza ww wengine watamsikiliza
Haya misukule wa luwasa ni shda sna.wameacha mikakati ya sera zao na dira wamebakia kwnye mipasho ya mange.chadema imekufa natural death.naumia sna kwahatua iliyofikia chadema
 
Alisinzia na fegi kachoma kibanda, KAINGIA NDANI NYOKA NYUMBA KAITIA MOTO, HUYU DR ANAPAMBANA NA HALI YAKE , HAJUI THINGS CHANGE RAPIDLY EENHE, WA TZ WAKO HIGHER NOW DAYS ATI. HANA CREDIBILITY TENA.
 
Akahojiwe na Charles Hillary Azam TV humk Clouds hakuna mwenye uelewa mpana wa kuuliza maswali kwenzi
 
Back
Top Bottom