johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Dr Slaa amesema hajawahi kumpa pole Tundu Lissu kufuatia shambulizi la risasi lililomkuta kwa sababu pole " hailazimishwi" na kwamba hata yeye alipopata ajali ya kuanguka bafuni na kuvunjika mkono si kila mtu alimpa pole. Dr aliyasema hayo kupitia kipindi cha majadiliano cha 360 kinachorushwa na luninga ya Clouds. Source gazeti la Mtanzania!