Dr. Slaa(Balozi): Siendi kutekeleza Sera ya CCM bali Sera ya Taifa. Aongelea sakata zima la Lowassa kuingizwa CHADEMA

Mkuu mbona umemkomalia sana Dk.Slaa amekufanya nini? au kosa lake ni kutumia haki yake ya kidemokrasia ambayo wengine pia wanaitumia including wewe. maana nimeona umemuanzishia mpka thread watu wasimuangalie ila wakamsome Mange Kimambi akimtukana sheikh wa watu. Angalia chuki zako zisije kukutawala mpaka zikaathiri upeo wako mkubwa wa kufikiri.
Kachuja mbaya, keshapotea babu, looh hana points, Eddo Si yupo Kama ni fisadi mbona wanamgwaya, tatizo ni system na keshajiunga hachomoi.
 
Chadema watu wabaya sana, mzee wa watu kakitumikia chama , kapata kilema cha mkono leo wanamwita msaliti. Makarai Beware.
 
Yalikuwa mahojiano ya kuvutia. Mahusiano yake na CDM inaonekana bado yana utata fulani kama ambavyo mtu angetegemea hii inadhihirika jinsi alivyo jibu swali kuhusu Lisu na Mbowe. Kama binadamu yeyote tujue kuwa anamapungufu yake, lakini hili lisifanye watu wajitoe ufahamu kwa issues za msingi alizo zungumzia. Ameelezea jinsi alivyotoka CDM na mvutano ulio kuwepo kati yake na viongozi wenzake ingawapo kuna maswali ya ziada lakini msimamo wako unaelekea ulikuwa dhahiri. Nimefurahia alipo ongelea kuhusu siasa za upinzani na hapa ndo CDM na CUF nafikiri wanatakiwa wajitafakari, hasa CDM na kama nilivyo wahi kuandika huko nyuma ni muhimu umma wa Tanzania (na sio wana CDM) ujue CDM inasimamia nini (kwa maneno na matendo) zaidi ya kukosoa matukio. Najua kuna watakaosema vyama hivi vimekosa platform, kama havita tafuta platform yakuwafaa kuzungumzia kile wanasimamia basi 2020 itawakuta hawapo tayari. Upinzani unatakiwa wasikilize alicho ongea halafu ujitafakari.
 
Furaha kumsikia tena live Dr. Slaa

Nilitamani uongeee hata nusu siku kwa kunogewa kukusikiliza Balozi wetu.

Magufuli oyeeeeee
 
Swali: Unamzungumziaje Tundu Lissu?

Jibu : Mimi kinachoniudhi ni watu kumnyooshea kidole mtu fulani.

Swali: Yeye mwenyewe Lissu unamchukuliaje kama mwanasiasa, kama kiongozi???

Jibu : hayo tuyaache kwanza

mazafanta........ndiyo maana pombe kamuweka kiporo kumuapisha, angejibu tu hilo swali, kuapishwa kungeahirishwa
 
Aliikuta Chadema inajengwa na waasisi wake akina Mbowe, akaiacha a Chadema imeendelea kua homa kali!!

Joka kibisa tu ....ngebe nyingi anajikontradikt!
 
Nimemsikiliza, kwa kiasi kikubwa kaongea vizuri nilipoona kaweka unafiki ni kuhusu kupigwa risasi Lissu.. anyway namuelewa kutoka kuuza supermarket hadi Ubalozi sio kitu kidogo! @Dr Slaa hujamtendea haki Lissu katika mazungumzo yako
Kasemaje hapo kwa Lisu?
 
Swali: Unamzungumziaje Tundu Lissu?

Jibu : Mimi kinachoniudhi ni watu kumnyooshea kidole mtu fulani.

Swali: Yeye mwenyewe Lissu unamchukuliaje kama mwanasiasa, kama kiongozi???

Jibu : hayo tuyaache kwanza

mazafanta........ndiyo maana pombe kamuweka kiporo kumuapisha, angejibu tu hilo swali, kuapishwa kungeahirishwa
Hapa ndipo nilipojua tru kala ya Dr. Slaa alivyojibu hilo swali, amejinasibu ni Mwanasaikolojia na mimi nimemsikiliza na kumuangalia usoni kwa makini sana alipojibu hili swali he is bloody crooked
 
Kuhusu lisu yy amejibu hafurahishwi km binadamu kwa mwenzake kupigwa risasi uchunguzi ufanyike mm cyo polisi kusema fulani amehusika na sipendi kumnyoshea kidole mtu fulani...kwa maoni yangu mwandishi angeendeleza swali km mazingira ya tundu lisu kupigwa risasi
 
Anasema hakuwahi kutoa ahadi wakati anagombea! Hii si kweli aliahidi kushusha bei ya cementi mpaka sh 5,000/-. Kuna kipindi alisema alipogombea ubunge kwa mara ya kwanza aliahidi kuleta maji huko Karatu ahadi aliyotimiza baada ya muda wa miaka kadhaa ya kuchaguliwa! Kifupi hakuna mwanasiasa hasiyeahidi!

Hata hivyo ninakubaliana naye kuhusu sera zinazotekelezwa. Tumesikia kila mara watu wanasema ilani ya chama fulani ndiyo inatekelezwa. Ukweli ni kuwa ilani inatumika tu kwenye kampeni na kuonyesha mwelekeo wa serikali itakayoundwa. Ili ilani itekelezwe inabidi mipango yake ipelekwe bungeni (au baraza la madiwani) kupitishwa na kupewa fedha ili itekelezwe. Ikifika hapo inakuwa mipango ya taifa na wafanyakazi wake regardless ya misimamo yao ya kisiasa wanaitekeleza. Huwezi kubeba ilani kama ilivyo ukaitekeleza. Nashangaa kuna watu wanatishia mpaka kufukuza watu wasiounga mkono chama tawala!
 
Aliikuta Chadema inajengwa na waasisi wake akina Mbowe, akaiacha a Chadema imeendelea kua homa kali!!

Joka kibisa tu ....ngebe nyingi anajikontradikt!
Mkuu kuwa mkweli wa nafsi yako, pamoja na kwamba hatuna kipimo rasmi...hv unaweza kuthubutu kumbeza dr slaa ktk ukuaji wa chadema?
una umri gani?
kwa taarifa yako, mbowe ni cha mtoto kwa slaa...mbowe ni msanii msanii tu
hata wakati wa slaa mapungufu ya mbowe hayakuwa dhahiri kama sasa hv!
kwa mfano rejea upuuzi wa kuwachagua masha na wenje ubunge afrika mashariki...wapo wanachadema makini chipukizi kulikoni kung'ang'ania watu walewale wa zamani?!
mbaya zaidi masha wakuja juzi juzi na mafuriko feki gafla kawapiku wapigania chama kwelkwel, haya ss huyoo karejea alikotoka na vijembe kibao!!
 
Mkuu kuwa mkweli wa nafsi yako, pamoja na kwamba hatuna kipimo rasmi...hv unaweza kuthubutu kumbeza dr slaa ktk ukuaji wa chadema?
una umri gani?
kwa taarifa yako, mbowe ni cha mtoto kwa slaa...mbowe ni msanii msanii tu
hata wakati wa slaa mapungufu ya mbowe hayakuwa dhahiri kama sasa hv!
kwa mfano rejea upuuzi wa kuwachagua masha na wenje ubunge afrika mashariki...wapo wanachadema makini chipukizi kulikoni kung'ang'ania watu walewale wa zamani?!
mbaya zaidi masha wakuja juzi juzi na mafuriko feki gafla kawapiku wapigania chama kwelkwel, haya ss huyoo karejea alikotoka na vijembe kibao!!
Bado mawazo yaleyale ya CCM ya kugawana vyeo. Unafkiri kila anayepigania chama ndiye anaestahili kuwa mgombea?

Ebu niambie, Mtulia amepigania CCM lini hadi agombee ubunge CCM?

SLAA alidhani chadema wanababaika naye, anaona moto unavowaka huku hana hamu.
 
Kuhusu lisu yy amejibu hafurahishwi km binadamu kwa mwenzake kupigwa risasi uchunguzi ufanyike mm cyo polisi kusema fulani amehusika na sipendi kumnyoshea kidole mtu fulani...kwa maoni yangu mwandishi angeendeleza swali km mazingira ya tundu lisu kupigwa risasi
Mwandishi mwenyewe ni HASSAN NGOMA, kumbuka
 
Back
Top Bottom