Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?


propaganda za kijinga na magamba hazifanikiwi that is all.
 
Sijali viongozi wawe na kadi mia za vyama tofauti au wasiwe nazo, ninachotaka ni uongozi bora.
 
Mkuu Mtoi
pumba nyingi sana hizi kiza kimeingia fupisha maneno ni unataka kusema tukujibu kwa ufasaha; sisi tunatumia mistari 4 kwasababu tunakupa kweli tupu>

Chama
Gongo la mboto DSM
cc: Ritz

Wewe chama sijui kwa siku unachukuaga posho kiasi gani pale lumumba.
 
Last edited by a moderator:
Chukua Chako Mapema(ccm) wako mahututi sana.Hivi hizi zote ni cheche lakini si moto na maji ya moto hayaunguzi hausi
 
...............hapa ni maji yamezidi unga au unga umezidi maji...............
 

Utamkimbiza Nnauye Jr humu JF kwa hayo maswali mazito na yenye ncha kali.
 
Last edited by a moderator:
Watu wanajadili kadi! kweli akili ndogo zinaongoza akili kubwa! shame!
 
Nimejaribu kuangalia wapi Dr Slaa kakanusha sijaona.
then! akanushe asikanushe inakusaidia nini. Haya ni Mwanachama wa CCM what next?. Katiba ya Chama chenu inasemaje kuhusu uanachama.Ritz sometime una ongozwa na ushabiki tu. haukufikishi popote watanzania tunalostishwa na wachache fikiria una shemeji zako kutoka ukweni wao sio sehemu ya raha zako unazochuma kutoka Ufisadini. wanateseka, hawapati tiba hospitalini, shuleni hawakuti walimu na wakiwakuta wapo kwenye mgomo. fikiria mara mbili mbili ndo ujitutumue kuja kutetea flani wa chama falni anamiliki kadi ya chama flani.
 
kwani slaa amejadili mangapi ya kipuuzi na kuzunguka nchi nzima kuyanadi? jf vp? mnashindwa kupambanuwa mambo?
 
Mara zote mimi nimesema Jamii ya Watanzania ni ya pekee hapa Duniani kwani huwezi kutofautisha ni nani Msomi,Mkubwa,Kijana,Wazee wa kusaidia kutoa angalao miongozo ya kitaifa nk.Ni vigumu sana kuwaelimisha watu wa jamii hii wakakuelewa na matokeo yake wenzetu nje hawatuelewi.
Watu wazima wameshindwa kuhudumia familia zao kutokana na sera mbovu za usimamizi wa raslimali za Taifa halafu leo badala ya kujadili haya wanaamkia kujadili kadi?.
Tuna tatizo la upungufu wa uelewa wa nini kinatokea katika Dunia ya leo.Hii haihusu Watanzania wa kawaida tu bali hata wale waliopata fursa ya kupata elimu nao hawana taarifa sahihi hivyo sote kuitwa NUSO (Nation of uninformed society).
 
wewe si ulisema una receipt za malipo ya ada ya kadi ya dr slaa,sasa uharo gani unauliza si umwage hapa hizo receipt hapa kamanda wa Lumumba.Nape bwana kwa mbwembwe hujambo,,Nape Moses Mnauye A.K.A 'RITZ'Hongera mkuu kwa fiksi..

mwambie Dr akanushe kwanza ndo uulizie vithibitisho acha kukurupuka wapi amekanusha?
 
Mkuu Mtoi
pumba nyingi sana hizi kiza kimeingia fupisha maneno ni unataka kusema tukujibu kwa ufasaha; sisi tunatumia mistari 4 kwasababu tunakupa kweli tupu>

Chama
Gongo la mboto DSM
cc: Ritz

Mkuu chama,
Mtu kama huyo kumjibu kwa mistari minne ni kupoteza muda. Nimeishamwambia endelee kutumika tu lakini hana thamani yeyote ndani ya Chadema, wakati mwingine mpaka wenyewe wanamshangaa Mohamed na Chadema wapi na wapi.

Mwambie ajaribu kugombea cheo chochote Bavicha ndiyo ataijua Chadema.

Huyo jamaa ndani ya Chadema ni njiwa kwenye kundi la kunguru. Akili ya kawaida tu unadhani wakiwa wagombea wawili Mohamedi Mtoi, na Masawe, nani atapigiwa kura na Pro-Chadema.
 
Last edited by a moderator:
ccm mna ilani ya kutekeleza na ahadi kibao.Nyinyi chezeni na CHADEMA hamkumsikia mwenyekiti wenu katika mkutano mkuu DODOMA ? Au mmesahau???????
 
CNN walisha sibitisha Dr ni levo nyingine kabisa.ccm wanamuhitaji sana mpaka wamefikia kumuita kwa njia za madawa ya kienyeji lakin wapi.Dr ni wamwenyez mungu sio wa mashetwan kama ccm.Dr amesha kabidhiwa na mwenyezi mungu hili taifa
 
Wameumbuka sana.Sasa yule kijana aliyejinadi kuwa ana digrii ya sheria sijui atakuwa katika hali gani.Tusikubali kutoka kwenye mstari.Hoja ni mabadiliko tu
nilijua zipo kumbe kutumika kunawasumbua hoja hazijajibiwa hajakanusha kua halipii hiyo kadi kwani tayari alishakiri.sasa kelele mingi za nini inawezekana wewe kutumiwa kwako ndo kunakufanya unakua kilaza.
 

Mkuu hapo kwenye bold nimekuwa najiuliza sana hivi kumbe mafisadi wamemzidi Nape nguvu enh?!!
kelele zote zile kuwa lazima wajivue gamba zikaishia Nape kunywea kama kuku alonyeshewa"
 

Udini utakufanya mwisho wa siku hata Mungu akukatae"mpaka nakuwa na shaka ikiwa wewe ni mtanzania kweli
maana watanzania hatuna udini wala ukabila kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…