Miongoni mwa viashiria vinavyo onyesha kuwa ccm inakufa ni propaganda za kijinga zisizo msaidia mtanzania kutoka kwenye lindi na mzingo wa umaskini huku ikitegemea watetezi wa propaganda hizo wawe watu aina ya
Ritz na
chama na muenda zake
TUNTEMEKE.
Kinacho zidi kuipa heshima chadema na propaganda za ccm ni jinsi propaganda hizo zinavyojibiwa kwa nguvu za hoja na mashiko yaliyo jaa kauli mujarabu huku zikionyesha obwe la kiuongozi na mtindio wa ubungo kwenye nyuso za magamba.
Naanza kuamini ule usemi wenye ncha kali "Wanao tetea ccm wana akili za maiti".
Kwa nini?
1. Hawashupalii elimu bora kwa watoto wetu kwenye hizi shule za ukata (st kayumba), wao wanashupalia kadi.
2. Hawataki kukilazimisha chama chao kuwataja na kuwachukulia hatua wamiliki wa kagoda, meremeta, deep green finance, epa, rada na trilioni zilizo Uswis. Wao wanalia na kadi ya Dr slaa bila kujali kuwa ni mali yake.
3. Hawashinikizi chama chao kutekeleza ahadi za Trilioni 13 ili kuifanya Kigoma iwe Dubai ya Afrika, barabara za hewani DSM na Tanga jiji la viwanda, wao muhimu kwao ni kadi ya Dr slaa.
4. Mwenyekiti wao amekiri kuwa ccm iache kutegemea polisi, hawashinikizi polisi walio uwa raia wenzao wachukuliwe hatua. Wao chenye umuhimu ni kadi ya Dr slaa.
5. Hawashinikizi wajumbe waliopatikana kwa rushwa na yale magamba yaondolewe kwenye chama chao. Wao akili zinapinga mbizi kufikiria kadi ya Dr slaa tu!
Hivi kuna chembe ya shaka kwa hako ka usemi kwa mifano hiyo michache?! Kama jibu ndiyo hebu angalia orodha ya watetezi wa hoja zao.
1.
ZeMarcopolo
2.
Ritz
3.
TUNTEMEKE
4.
chama (angalau siku moja moja huwa anatumia kichwa kuwaza badala ya tumbo kama
Ritz
5. Mwendazake Marilia sugu.
6. Mwendazake Faiza fox.
Ukisema hao watu wanatetea hoja za kadi kwa kutumia yale madude ya yule mayor wa darisalamu utakuwa umekosea sana.
*Samahani kama nitakuwa nimewakwaza bahati mbaya au kwa makusudi*
Kila jema na lenye kheri lisiwaponyoke na mbarikiwe hadi mpigwe na butwaa.