humphg
Member
- Apr 20, 2011
- 56
- 5
Duh yaani CDM kiboko wameanza kumchafua Dr. Slaa! Jana nilikuwa kijiweni na vijana tunakunywa kahawa nikasikia wanasema Dr. Slaa alitumwa na Nyerere kuingia upadri ili ajue huko mapadri wanafanya nini na hakuwa na utashi wa kweli. kwa kifupi wanasema alitumwa na serikali na ni mtu wao hadi leo. Vijana wakawa wanaonyesha wasiwasi juu ya Dr. Slaa na wakasema afadhali Mbowe. Leo naona hii post nimeshangaa. Naona mitandao ya Urais ndani ya CDM inafanya kazi kwa umakini mkuu.
Hakuna mtandao wa URAIS CDM, na usijifanye unashangaa! unaelewa fika makundi yako CCM, pia angalia sana kushughulika data za vijiweni ambazo nhazina PROOF yoyote!! sasa hivi ni Ulimwengu wa DIJITALI ukisema kitu toa ushahidi pia! sio kuongea tu kama mvuta bangi kijiweni! story kupoteza jua lilale tu, reference hakuna!!
Toa ushahidi kivipi DR. alitumwa na Mwl kuwa padri!!!? acha bangi!!