Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Kweli akili ndogo zinaongozwa na akili kubwa ccm hawana pa kutokea kwa propaganda za kijinga walifikiri watanzania watabaki walewale kila siku
 
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania, mtakumbuka ya kwamba Dr. Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa CCM kabla ya kuasi chama na kukimbilia CHADEMA.

Hata hivyo, mpaka leo hii Dr. Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya CCM.
Wanakaratu wakiongozwa na Dr. Waliteketeza maelfu ya kadi za CCM pale Dr Slaa alipokihama chama hicho! CCM mnasahau haraka historia! Mimi nilichanachana likadi la CCM 2005 kikwete alipoteuliwa kugombea urais kupitia CCM mbona hawaji kunidai likadi lao!
 
hata mimi pia nimesikia kuwa dr slaa anashirikiana kwa siri sana na viongozi wa ccm hasa wale watumishi wa umma waliompa nyaraka za epa, uingizaji wa silaha za ccm, wizi wa kura zake na ule waraka wa kufuatilia watumishi wa umma wanaounga mkono chadema ili wafukuzwa.

Ni kweli kabisa nasikia wanakutana mara nyingi sana tena usiku. Wewe nyaraka muhimu za kifisadi za serikali angezitoa wapi? Ni watumishi wa serikali ya ccm ambao ni wanaccm ndo wamempa? Tuko pamoja mkuu.
Kama hii kadi ya ccm aliyonayo faida yake ndo hizi, basi mimi naunga aendelee kuwa nayo. Ila bahati mbaya mambo yake yanaharibu ccm.

kupenda kubaya,munalazimisha ki,n.ye's i kiwe chakula?kadi hiyo angeimiliki zitto mungeyasema hayo.
 
Dahh chadomo wameshikwa pabaya wote bado ni wanaccm hureeee
 
Hivi jamani kile ile single ya"mafisadi lazima waondoke watuachie CCM yetu" kilichotungwa na JK na nape kiliishia wapi? Lini waliomba msamaha kwa wa-Tz kwamba walitulaghai? Lini walioitwa mafisadi waliombwa msamaha?
 
Slaa rudisha kadi ya watu kama hii habari ina ukweli wowote. Huwezi kame kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja.

Samahani kidogo Radhia Utamu, hivi kwa mfano umeolewa halafu umeshindana na mumeo nadhani utapewa Taraka, sasa swali langu ni hili, na cheti cha ndoa nacho hua unarudisha? Hivi kama Dr. Slaa ni mwananchama wa magamba halafu anawachana live namna ile, swali ni hili, Ufalme unaofitinika, unaweza kusimama kweli? Yaani wewe uwe sisiem halafu wewe huyo huyo unapigia kamoeni timu pinzani, inaingia akilini? Mbona mnaonekana watu wa kujidhalilisha sana kwa akina nape namna hii, wanatoa hoja nyepesi mno kuliko hata uzito wa unyoya na then mnaamini tu, anyway, nitajia nani aliyewahi kuacha chama chake na akarudisha kadi ya chama alicho kiasi? Naomba kumjua 1 tu.

Kwakusema vile bwana Nepi, anamaana hata wale ambao hua tunawaona na kutangaziwa kuwa ni wanachama wa CDM na sasa wameamua kurudi magamba nao pia huwa ni kanyaboya? Cause huwa hawarudishi kadi za chama chao cha zamani?
 
Nimefuatilia hili swala na kukugundua kwamba watanzania usahaulifu wetu ndio unaotuponza, sielewi ni kwa nini swala la NAPE kusema DR SLAA anakadi ya CCM limekuwa issue wakati hili swala alilisema DR SLAA mwenyewe wakati wa Kampeni za Mwaka 2010 likely akiwa anarespond kwenye upuuzi wa namna hiyo hiyo ulioanzishwa na Makamba.

In short and in a very clear manner DR SLAA alikiri kuwa na kadi ya CCM na akasema hana mpango wa kuirudisha sababu ni ya kwake aliinunua kwa pesa yake mwenyewe hakupewa bure.Yakaisha.

Sielewi ni ufahamu wa namna gani unaweza ukarudisha hoja kama hii kwenye hadhira, kwamba mbona wengine wana rudisha, well ni maamuzi ya mtu, by the way hizo kadi wengi hupewa bure.

I am seating here wondering how on earth Nape and most of us has made this an issue!!!!
 
Nimefuatilia hili swala na kukugundua kwamba watanzania usahaulifu wetu ndio unaotuponza, sielewi ni kwa nini swala la NAPE kusema DR SLAA anakadi ya CCM limekuwa issue wakati hili swala alilisema DR SLAA mwenyewe wakati wa Kampeni za Mwaka 2010 likely akiwa anarespond kwenye upuuzi wa namna hiyo hiyo ulioanzishwa na Makamba.

In short and in a very clear manner DR SLAA alikiri kuwa na kadi ya CCM na akasema hana mpango wa kuirudisha sababu ni ya kwake aliinunua kwa pesa yake mwenyewe hakupewa bure.Yakaisha.

Sielewi ni ufahamu wa namna gani unaweza ukarudisha hoja kama hii kwenye hadhira, kwamba mbona wengine wana rudisha, well ni maamuzi ya mtu, by the way hizo kadi wengi hupewa bure.

I am seating here wondering how on earth Nape and most of us has made this an issue!!!!

nakumbuka pia hlo doct alishasema ni yake.kwa kuwa alinunua kwa pesa yake.bigup mkuu
 
kama si vibaya kuwa na kadi mbili,kwanini slaa kwenye mikutano yake anakusanya kadi za ccm na kuzichoma moto??????????????????????????????????
 
Kadi ya ccm aliyonayo dr.slaa ndio itatupunguzia mfumuko wa bei nyie viongozi mazuzu wa ccm???? Mbona mnataka mode anipige ban na xmass imekaribia msitutake laana bhana mwisho wa mwaka huu!!!!!!!!!!!
 
KWa muendelezo wa malumbano ya Dr. SLaa kuwa na kadi ya CCM,ni wazi pathetic and desperate CCM wanaweza wekeza kijinga ktk hii project isiyo na logic wala ethics.Nape kuendelea jifanya kuw ani smart ni ishara kuwa tusishangae wakaenda mbali zaidi hata simulate zoezi la kuchangia michango ili kujenga taswira ya kijinga sana kuhusu dr.In reality majibu yote kapew aila kashindwa kuwa mwadilifu bado anaendeleza kejeli.

Ni mbaya sana hizi tabia za CCM na ni vyem akil amtu kaipigia kelele ili CCM waache utoto na ushenzi wakatufanyie kazi wanazopiga domo wataanza leo mara kesho.

Nnauye Jr usidekeze sana ubongo.
 
Nape hana kosa lolote, bali waandishi wetu uchwara ndio wa kulaumiwa kwa kutowa coverage kwa upuuzi kama huo, kama wamekosa habari si ni bora waweke habari za Yanga na Simba kwenye front page zao.
 
KWa muendelezo wa malumbano ya Dr. SLaa kuwa na kadi ya CCM,ni wazi pathetic and desperate CCM wanaweza wekeza kijinga ktk hii project isiyo na logic wala ethics.Nape kuendelea jifanya kuw ani smart ni ishara kuwa tusishangae wakaenda mbali zaidi hata simulate zoezi la kuchangia michango ili kujenga taswira ya kijinga sana kuhusu dr.In reality majibu yote kapew aila kashindwa kuwa mwadilifu bado anaendeleza kejeli.

Ni mbaya sana hizi tabia za CCM na ni vyem akil amtu kaipigia kelele ili CCM waache utoto na ushenzi wakatufanyie kazi wanazopiga domo wataanza leo mara kesho.

Nnauye Jr usidekeze sana ubongo.
Ndugu mkubali tu kuwa mmekamatwa korodani!
Dr kakubali MWENYEWE kuwa ana kadi ya CCM huku anakusanya za wenzake!
What a shame!!!
 
kupenda kubaya,munalazimisha ki,n.ye's i kiwe chakula?kadi hiyo angeimiliki zitto mungeyasema hayo.

ni wewe tuu umeamuna kuw amgumu kuelewa, mimi nina kadi na vitambulisho vingi sana vya njia nlizopita na sijawahi rudisha.Sasa hivi navitumia kama antique.Mbaya zaidi vitambulisho vinanunuliwa.

Zitto akiwa nayo lazima iwe nongwa, kwani umri aliojiunga CDM hakuwa mwanachama wa chama Kingine, sasa kujiunga na CCM ni wazi atakuwa kajiunga akiwa CDM na hivyo kumhakikishia kuwa msalimi moja kwa moja.
 
Ndugu mkubali tu kuwa mmekamatwa korodani!
Dr kakubali MWENYEWE kuwa ana kadi ya CCM huku anakusanya za wenzake!
What a shame!!!

Kwenu wanuame wanawashika wanaume wengine korodani?

Ni mahali pengine pa CCM kudhalilika, pengine mnadhani itawasaidia ila mwisho wa siku mtajikuta hesabu haija balance kama kawaida yenu.Magamba haayvuki, mandondocha wa matusi na pumba katk CCM hawatabadilika na kuongea sense, mnaishia kudai Muungano wa Pemba sijui na zimbamwe?
 
Kwenu wanuame wanawashika wanaume wengine korodani?

Ni mahali pengine pa CCM kudhalilika, pengine mnadhani itawasaidia ila mwisho wa siku mtajikuta hesabu haija balance kama kawaida yenu.Magamba haayvuki, mandondocha wa matusi na pumba katk CCM hawatabadilika na kuongea sense, mnaishia kudai Muungano wa Pemba sijui na zimbamwe?

Usitukane sana mkuu, we can understand your frustration.
Bahati yako mbaya bado hujavuka mto, mamba wa CCM wataendelea kuwatafuna.

Fanyeni sensa ndani ya CDM kwa wale ambao bado wana kadi za CCM!
Utashangaa-wanaziweka kwa kumbukumbu tu (pamoja na kukatia ada!)
Kweli mmekamatwa pabaya.

Ha ha ha!
 
1.what is a political party in democratic country?
2.what are the key qualifications for a person to be a leader within a political party?
3.what make difference among leaders between the party in power with other oppositions party?
4.with evidence verify how you belihave that your party is a real political party (as above 1.)
each question 25% marks and remmember to write a polity language.ok start
 
Usitukane sana mkuu, we can understand your frustration.
Bahati yako mbaya bado hujavuka mto, mamba wa CCM wataendelea kuwatafuna.

Fanyeni sensa ndani ya CDM kwa wale ambao bado wana kadi za CCM!
Utashangaa-wanaziweka kwa kumbukumbu tu (pamoja na kukatia ada!)
Kweli mmekamatwa pabaya.

Ha ha ha!

Nani katukana?Mimi nimekuuliza swali kutokana na neno ulilosema,sasa unaruka nini?
 
Back
Top Bottom