Wewe unayejiita Great thinker, waliposema hivyo ukakubali? Na umeona hili ndilo la kushirikisha Great thinkers.
Jamani huku ni kufilisika kubaya. Kama CCM imebaki na utoto wa namna hii kama mtaji, na ndio inaongoza nchi basi Watanzania tunapaswa kuhurumiwa sana!
POrojo za vijiweni , watu siku hizi wanalewa kahawa.
Ili uaminike mkuu hebu ziscan utuwekee mtandaoni, mara tutasikia nilichana!
Uongo mtupu!
Sidhanii kama ulikuwa mjanja miaka hiyo.
Since that cabbage above your shoulders is not used for anything else apart from that ill fitting turban,please be informed that between my ears is matter that is highly prized and is used in a manner that will put you to shame.Just because you are using those ears of yours for thinking doesn't make you a big time Charlie
Since that cabbage above your shoulders is not used for anything else apart from that ill fitting turban,please be informed that between my ears is matter that is highly prized and is used in a manner that will put you to shame.
Cover your ears at your own peril as that turban of yours, even where there is no arabic sand.
Ever been informed of antennae?
Thats what I am sporting, I hear, I compile data, I analyse then make an informed decision.
And that devilish sneer, mr,just expresses whats in ones mind, not better off than the cabbage you are sporting.
You must be kidding yourself.....and nobody else......sporting?
Buddy, you are even shallower than I thought you might be!
What dont you understand here?
Consult your oracles for communicational inspiration.
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania, mtakumbuka ya kwamba Dr. Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa CCM kabla ya kuasi chama na kukimbilia CHADEMA.
Hata hivyo, mpaka leo hii Dr. Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya CCM.
Aliichoma moto! acha mas hara. Ile ni kadi takatifu akiichoma moto tutamwangukia kama siafuWho cares? Siyo lazima airudishe huko mnakodhani anaweza irudisha, me niliambiwa kuwa aliichoma moto!!!!!
Keep on brooding.........am busy and none of your buddy