Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Kwan Kadi zinarudishwa wapi? Itabd niwe napeleka rundo la kadi ambazo wana ccm wamezleta kwangu after mikutano. .. Nielekezeni pahala pa kurudsha hzo kadi za CCM ili nigeuze ofc yenu dampo.
kwani kadi huwa mali ya nani? je dr slaa ni active member yaani huwa anailipia..hivi kikomo cha kuwa mwana ccm kikoje..
Hawezi kurudisha siku yeyote atarudi CCM.
mleta mada ni mke mdogo wa Dr? amejuaje kama bado hajarudisha au kachoma moto?. shemeji umezaa watoto wangapi na dr.?
Duh yaani CDM kiboko wameanza kumchafua Dr. Slaa! Jana nilikuwa kijiweni na vijana tunakunywa kahawa nikasikia wanasema Dr. Slaa alitumwa na Nyerere kuingia upadri ili ajue huko mapadri wanafanya nini na hakuwa na utashi wa kweli. kwa kifupi wanasema alitumwa na serikali na ni mtu wao hadi leo. Vijana wakawa wanaonyesha wasiwasi juu ya Dr. Slaa na wakasema afadhali Mbowe. Leo naona hii post nimeshangaa. Naona mitandao ya Urais ndani ya CDM inafanya kazi kwa umakini mkuu.
Ni kweli atarudi 2015 Kama Rais wetu woteHawezi kurudisha siku yeyote atarudi CCM.
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania , mtakumbuka ya kwamba Dr Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa ccm kabla ya kuasi chama na kukimbilia cdm. Hata hivyo, mpaka leo hii Dr Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya ccm.MTOA HABARI MTU AKIASI MANAKE HAYUKO NAWE TENA ILA ANAWAUMA MABOSI WAKO SAANA MTALIA SANA
Mkuu haipendezi hata kidogo kuandika lugha ya matusi humu (idiot)