Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Mimi nina kadi ya CCM hadi leo nimeiweka kama kumbukumbu kuwa kuliwahi kuwepo na dubwasha lilinyonya wananchi wake lililoitwa CCM, ni ya Tawi la Abjani -UDSM na alinipa Bwana Alfani mwenyewe pale Sinza enzi zile za Giza, kama wanaitaka wamtume huyo alienipa aje kuichukua.
Hata hivyo Nape haoni kuwa kudai kadi ni kupoteza muda na kupotosha hoja za msingi? Kadi inasaidiaje kujenga chama endapo itarushwa hata leo hii? hawana pesa ya kuprintia nyingine?
Hata hivyo Nape haoni kuwa kudai kadi ni kupoteza muda na kupotosha hoja za msingi? Kadi inasaidiaje kujenga chama endapo itarushwa hata leo hii? hawana pesa ya kuprintia nyingine?